Tabora imechelewa ama imecheleweshwa?

Hossam

JF-Expert Member
Feb 10, 2011
3,538
2,155
Ni sawa sisi Wanyanyembe, na kwa hakika hakuna awezaye kuleta mabadiliko Tabora au kuamua kukubali mabadiliko kwa faida ya Wanatabora na Watanzania kwa ujumla ila sisi wenyewe, lakini jee, Tabora haikupewa elimu sahihi ya uraia kwa wakati ama imechelewa kukubaliana na upepo wa mabadiliko?

Maana ni Tabora hii imewaelimisha wengi viongozi wetu, ni Tabora hii imekuwa ikikumbukwa kihistoria kama business center enzi zile za 1890s na hata nusu ya kwanza ya karne ya ishirini.

Tabora ina kila rasilimali zenye kuweza kuipaisha na kuifanya kinara wa maendeleo Tanzania, tupia macho misitu yetu uone mbao safi na asali, ona udongo wenye rutuba uwezao kuotesha mazao yote yote, sasa kwa nini tuko mkiani?

Hivi ni blanket la alfajili ya usingizi mtamu wa uzembe na wa kuzuia kuchangamka ama ni fikra potofu za wakoloni na kuogopa kivuli zimetufikisha mkiani?

Jee ni kweli mzigo mzito wa ujinga mpe mnyamwezi? Sina hakika kama tumecheleweshewa ama kutokukubali mageuzi ya kweli, kama asubuhi imefika basi tuamke wajameni.

G Kassanga.
 
Ni sawa sisi Wanyanyembe, na kwa hakika hakuna awezaye kuleta mabadiliko Tabora au kuamua kukubali mabadiliko kwa faida ya Wanatabora na Watanzania kwa ujumla ila sisi wenyewe, lakini jee, Tabora haikupewa elimu sahihi ya uraia kwa wakati ama imechelewa kukubaliana na upepo wa mabadiliko?

Maana ni Tabora hii imewaelimisha wengi viongozi wetu, ni Tabora hii imekuwa ikikumbukwa kihistoria kama business center enzi zile za 1890s na hata nusu ya kwanza ya karne ya ishirini.

Tabora ina kila rasilimali zenye kuweza kuipaisha na kuifanya kinara wa maendeleo Tanzania, tupia macho misitu yetu uone mbao safi na asali, ona udongo wenye rutuba uwezao kuotesha mazao yote yote, sasa kwa nini tuko mkiani?

Hivi ni blanket la alfajili ya usingizi mtamu wa uzembe na wa kuzuia kuchangamka ama ni fikra potofu za wakoloni na kuogopa kivuli zimetufikisha mkiani?

Jee ni kweli mzigo mzito wa ujinga mpe mnyamwezi? Sina hakika kama tumecheleweshewa ama kutokukubali mageuzi ya kweli, kama asubuhi imefika basi tuamke wajameni.

G Kassanga.
Ni KHANGA,KOFIA na FLANA vinawachelewesha kuamka!
 
Mkuu kasanga usiwe na hofu kabisa kwani sasa tunajitahidi kuwahimiza wanatabora ijapokuwa tupo mbali ila hata kwa njia ya mitandao ili 2015 tuweze kufanya mabadiliko ya muhimu( fundamental changes) pia kwa analysis yangu ndogo nilofanya ni kwamba tabora itakombolewa kutokana na wimbi la vijana ambao kila mwaka wanagradurate 4m4 shule za kata, pia wanafunzi kutoka hivyo vyuo kama saut,teku,uhaziri na watu ambao si wageni wa hapo wenye hali ya mabadiliko´.
My outlook:
ni vyema elimu ya urai ikazaniwe hasa kwa kuwekeza kwa wanafunzi vijana wote pamoja na makundi mengine ya kijamii.

Shardcole@Tabora1
 
Ni sawa sisi Wanyanyembe, na kwa hakika hakuna awezaye kuleta mabadiliko Tabora au kuamua kukubali mabadiliko kwa faida ya Wanatabora na Watanzania kwa ujumla ila sisi wenyewe, lakini jee, Tabora haikupewa elimu sahihi ya uraia kwa wakati ama imechelewa kukubaliana na upepo wa mabadiliko?

Maana ni Tabora hii imewaelimisha wengi viongozi wetu, ni Tabora hii imekuwa ikikumbukwa kihistoria kama business center enzi zile za 1890s na hata nusu ya kwanza ya karne ya ishirini.

Tabora ina kila rasilimali zenye kuweza kuipaisha na kuifanya kinara wa maendeleo Tanzania, tupia macho misitu yetu uone mbao safi na asali, ona udongo wenye rutuba uwezao kuotesha mazao yote yote, sasa kwa nini tuko mkiani?

Hivi ni blanket la alfajili ya usingizi mtamu wa uzembe na wa kuzuia kuchangamka ama ni fikra potofu za wakoloni na kuogopa kivuli zimetufikisha mkiani?

Jee ni kweli mzigo mzito wa ujinga mpe mnyamwezi? Sina hakika kama tumecheleweshewa ama kutokukubali mageuzi ya kweli, kama asubuhi imefika basi tuamke wajameni.

G Kassanga.

Gwawipa! Kikulacho ki nguoni mwako mkuu! Tafakari, chukua hatua.
 
Ni sawa sisi Wanyanyembe, na kwa hakika hakuna awezaye kuleta mabadiliko Tabora au kuamua kukubali mabadiliko kwa faida ya Wanatabora na Watanzania kwa ujumla ila sisi wenyewe, lakini jee, Tabora haikupewa elimu sahihi ya uraia kwa wakati ama imechelewa kukubaliana na upepo wa mabadiliko?

Maana ni Tabora hii imewaelimisha wengi viongozi wetu, ni Tabora hii imekuwa ikikumbukwa kihistoria kama business center enzi zile za 1890s na hata nusu ya kwanza ya karne ya ishirini.

Tabora ina kila rasilimali zenye kuweza kuipaisha na kuifanya kinara wa maendeleo Tanzania, tupia macho misitu yetu uone mbao safi na asali, ona udongo wenye rutuba uwezao kuotesha mazao yote yote, sasa kwa nini tuko mkiani?

Hivi ni blanket la alfajili ya usingizi mtamu wa uzembe na wa kuzuia kuchangamka ama ni fikra potofu za wakoloni na kuogopa kivuli zimetufikisha mkiani?

Jee ni kweli mzigo mzito wa ujinga mpe mnyamwezi? Sina hakika kama tumecheleweshewa ama kutokukubali mageuzi ya kweli, kama asubuhi imefika basi tuamke wajameni.

G Kassanga.

Kassanga, Kassanga, Kassanga, huko nenda taratibu hebu mtafute MKONONGO SIKONGE ha ha ha ha ha huyu atakupa jibu
 
Ni sawa sisi Wanyanyembe, na kwa hakika hakuna awezaye kuleta mabadiliko Tabora au kuamua kukubali mabadiliko kwa faida ya Wanatabora na Watanzania kwa ujumla ila sisi wenyewe, lakini jee, Tabora haikupewa elimu sahihi ya uraia kwa wakati ama imechelewa kukubaliana na upepo wa mabadiliko?

Maana ni Tabora hii imewaelimisha wengi viongozi wetu, ni Tabora hii imekuwa ikikumbukwa kihistoria kama business center enzi zile za 1890s na hata nusu ya kwanza ya karne ya ishirini.

Tabora ina kila rasilimali zenye kuweza kuipaisha na kuifanya kinara wa maendeleo Tanzania, tupia macho misitu yetu uone mbao safi na asali, ona udongo wenye rutuba uwezao kuotesha mazao yote yote, sasa kwa nini tuko mkiani?

Hivi ni blanket la alfajili ya usingizi mtamu wa uzembe na wa kuzuia kuchangamka ama ni fikra potofu za wakoloni na kuogopa kivuli zimetufikisha mkiani?

Jee ni kweli mzigo mzito wa ujinga mpe mnyamwezi? Sina hakika kama tumecheleweshewa ama kutokukubali mageuzi ya kweli, kama asubuhi imefika basi tuamke wajameni.

G Kassanga.




Sikia, tuko karne ya 21 siyo tena ya 19. Tabora mamwinyi ni wengi mno na sehemu yeyote ile Africa inayoendekeza mila hizi za kimwinyi hazina maendeleo, mfano wa Tabora na Kigoma, Zanzibar, Tanga, Mtawara, Lindi, Pwani, n.k. Na ujinga mwingine wa Tabora walionao ni kwamba wameweka nyuki ndiyo rasilimali za ule mkoa. Yaani wananchi hawawezi kulima mpaka nyuki wao wa kubahatisha washibe, si upuuzi huu? Eti mtu mzima unategemea nyuki ndiyo msingi wa maisha yako, jamani?
 
Si Tabora tu iliyocheleweshwa kwa makusudi kabisa. Tazama Kigoma, Mtwara, Tanga halafu jiulize what do they have in common? jibu ni 83 vs 17 bila kukisia.
 
Hebu fikiria kwa vihela vidogo, t-shirts na kofia watu wanampa ubunge Rage ma Munde. Unategemea mabadiliko hapo? endeleeni kucheza bao, draft na pool table mpaka Yesu atakaporudi. Hebu angalia kata kama Ng'ambo, Isevya, Chemchem kulivyo na njaa.
 
Si Tabora tu iliyocheleweshwa kwa makusudi kabisa. Tazama Kigoma, Mtwara, Tanga halafu jiulize what do they have in common? jibu ni 83 vs 17 bila kukisia.

And what does it mean in our language; Arabic culture that makes people lazzy?

Au ukosefu wa elimu na utashi wa kuitafuta ulioletwa na uwepo wa hao waarabu during colonial era?
 
Mkuu salute kwa changamoto yako lakini nina neno zaidi, sio kwamba Tabora itegemee nyuki tu japo kwa hakika inaweza kutegemea nyuki na kuwa mkoa Tishio Tanzania, ona asali ya Tabora ni bora na kumbuka mkoa una mapori makubwa yapatayo hekta 2.5 milion, nyuki wamo mote humo. Kama serikali leo ingeliona hili nakuapia wangepiga marufuku ulimaji wa Tumbaku huku ambao umeanza toka 1963 ukitafuna hadi sasa hekta 0.5 million. Kama kungekuwa na processing plant kubwa, tofauti na pale Nyuki Center waliyoiua lao hii Tabora ingekuwa na mchango mkubwa kwenye GDP na hata forex tungekuwa nazo kubwa, hivi sio uchumi wa Norway unaobebwa na Magogo yaani mbao!?

Ni sawa umeleta changamoto lakini hakiyamungu nakuapia hata utalii Tabora ingekuwa tishio, tuna kaburi la Mtemi Milambo the Napoleln of East Africa, tuna Ugalla Game Reserve, tuna Dr Livingstone monuments, na tuna the German Boma, ni mengi mkuu.
Sikia, tuko karne ya 21 siyo tena ya 19. Tabora mamwinyi ni wengi mno na sehemu yeyote ile Africa inayoendekeza mila hizi za kimwinyi hazina maendeleo, mfano wa Tabora na Kigoma, Zanzibar, Tanga, Mtawara, Lindi, Pwani, n.k. Na ujinga mwingine wa Tabora walionao ni kwamba wameweka nyuki ndiyo rasilimali za ule mkoa. Yaani wananchi hawawezi kulima mpaka nyuki wao wa kubahatisha washibe, si upuuzi huu? Eti mtu mzima unategemea nyuki ndiyo msingi wa maisha yako, jamani?
 
Back
Top Bottom