Tabora Boys: Special school inayopotea!

Tabora Boys: Special school inayopotea!

UNAMTINDIO WA UBONGO WEWE
HAMNA KITU KAMA HICHO , JILAUMU KWA KUSOMEA MISHULE YA KATA!! , KAMA HUJASOMEA SPECIALSCHool wewe ni ndezi, kama wewe uliyepost hii comment bwabwa mkubwa wewe ,niondokee takataka
ndugu yangu mpigamsuli naona una nia hasi na hii thread coz naona unapost lugha za kukera na matusi hivyo kupoteza hadhi ya hii thread tafadhali sana kumbuka haupo peke yako uliyesoma hizo special school humu jamvini wapo wengi tu na wametulia sijsjua nia yako hasa ni nini.au unataka kuongeza idadi ya posts zako katika jamvi??? kama unataka hivyo kuna jukwaa la jokes unaweza ukafanya hivyo....na nashangaa sana mtu uliyesoma special school kuwa na tabia kama hizo inasikitisha kwa kweli......kuna member signature yake inaseme "INGAWA TUNATUMIA MAJINA NA AVATARS ZISIZOKUWA ZETU HIYO HAIBADILI UTU WETU" samahani kama nitakuwa nimequote vibaya.....hivi utajiskiaje kuwa member unaowatukana humu jumbe ni baba,mama,mwalimu au hata wajomba zako,,,hata kama hatufahamiani kwa uhalisia wetu humu jamvini tuheshimiane na tu uphold status ya jamvi
 
UNAMTINDIO WA UBONGO WEWE, KISIMIRI KUIPITA SPECIAL NDO ULETE KELELE ZA KITOTO HAPA!!, KAMA NI HIVYO MALANGALI IMEWAHI KUWA YA 6 MWAKA2009 NDIO LEO UIFANANISHE NA TABORABOYS AU MZUMBE?? ,REKODI YA MIAKA MIWILI NDIO ULETE KELELE HUMU??HEBU KAAKIMYA UMEFUATILIA REKODI ZA TABORABoys za miaka ya 90?? utakuwa umevurugwa wewe
we are not talking about the past here brother....yeah well tabora boys sikatai ina record nzuri kwa miaka ya huko nyuma yaani miaka ya 90 na hata 80's na kumbuka ushindani wa kielimu miaka hiyo huwezi uka compare na ushindani uliopo sasa...thats why mimi nikaanzisha hii thread kwamba tuijadili future ya tabora boys ambayo inaelekea kupotea katika ulingo wa elimu ya ushindani hapa bongo...na naongeza wasipobadilika wataingia katika shule za class ya pugu,minaki,umbwe na shule zingine zenye ufaulu wa wastani
 
Hiyo KISiMIRI toka lini imetangazwa kuwa vipaji maalum?Ipo sehemu gani na imeanza lini?
inaonesha hufuatilii mambo ya elimu hapa tanzania la sivyo usingeuliza swali kama hilo
 
Ok!Kwa hiyo nani kaipa hadhi ya kuwa shule ya kipaji maalum je kuna kauli/maandishi ya MULUGO juu ya hili au matokeo yake kuwa mazuri basi mmeibatiza hadhi ya kuwa ya vipaji maalum? Maana hata KANTALAMBA ya Sumbawanga ilishawahi kuingia top 10 mara mbili mfululizo lakini siyo vipaji maalum.
KISIMIRI imekuwa special school kabla hata mulugo hajashika nafasi aliyonayo sasa.....na huwezi ukafananisha KANTALAMBA na KISIMIRI na kama hicho unachosema wewe kingekuwa kigezo basi TUKUYU DAY ingekuwa special kwa sababu ilikuwa ya 7 mwaka 2010
 
inaonesha hufuatilii mambo ya elimu hapa tanzania la sivyo usingeuliza swali kama hilo


Nakiri kuwa kwasasa sifuatilii sana hayo mambo, tulisomaga miaka mingi sana iliyopita wengine na bahati mbaya tupo tunapiga box kwa watu huku kwa miaka kadhaa. Sina nia ya kukuudhi maana naona unatoka povu kuitetea hiyo shule, hiyo shule lazima itakuwa ni ya miaka ya hivi karibuni tofauti na shule za vipaji tulizokuwa tunazisikia sisi miaka hiyo ya kweusi ndiyo maana nikawa curious to ask lakini siipondei shule yako mkuu wangu wa kipaji maalum.


Ok, kwa maana hiyo unataka kusema kuwa kuna official authorization ya kuifanya shule hiyokuwa ya vipaji maalum tofauti na kudahili wanafunzi wenye alama za juu?
 
UNAMTINDIO WA UBONGO WEWE
HAMNA KITU KAMA HICHO , JILAUMU KWA KUSOMEA MISHULE YA KATA!! , KAMA HUJASOMEA SPECIALSCHool wewe ni ndezi, kama wewe uliyepost hii comment bwabwa mkubwa wewe ,niondokee takataka

scientists says that the more you think you know the more you know nothing in reality. Hata kama ningekuwa mimi ningefanya kama ulivyofanya ww. Ajabu ni kwmba huwez jitambua mwenyewe hadi uambiwe na watu wengine. Kichaa hajitambui.
 
SAWA WW UMESOMA SPECIAL MM AZANIA BUT MM NKAPATA DIV I WW DIV II SASA APO NAN ATAKUWA KILAZA????? Thnk twce kusoma special n sifa tu ya kwako ila ya mtaan n kila sehem n kitu utakachogain baada ya kumaliza hyo special yako
 
UNAMTINDIO WA UBONGO WEWE, KISIMIRI KUIPITA SPECIAL NDO ULETE KELELE ZA KITOTO HAPA!!, KAMA NI HIVYO MALANGALI IMEWAHI KUWA YA 6 MWAKA2009 NDIO LEO UIFANANISHE NA TABORABOYS AU MZUMBE?? ,REKODI YA MIAKA MIWILI NDIO ULETE KELELE HUMU??HEBU KAAKIMYA UMEFUATILIA REKODI ZA TABORABoys za miaka ya 90?? utakuwa umevurugwa wewe

Hahahaha mkuu kipaji chako maalum ni jazba
 
Huyo MPIGAMSULI kama alisoma special school bac hakupata DIV I wala II kwa sababu walofel weng huwa wanatambia shule zao ila wenye single digt zao O ata A level huwa wapo kmya coz wanajua wanachokifanya
 
Nakiri kuwa kwasasa sifuatilii sana hayo mambo, tulisomaga miaka mingi sana iliyopita wengine na bahati mbaya tupo tunapiga box kwa watu huku kwa miaka kadhaa. Sina nia ya kukuudhi maana naona unatoka povu kuitetea hiyo shule, hiyo shule lazima itakuwa ni ya miaka ya hivi karibuni tofauti na shule za vipaji tulizokuwa tunazisikia sisi miaka hiyo ya kweusi ndiyo maana nikawa curious to ask lakini siipondei shule yako mkuu wangu wa kipaji maalum.


Ok, kwa maana hiyo unataka kusema kuwa kuna official authorization ya kuifanya shule hiyokuwa ya vipaji maalum tofauti na kudahili wanafunzi wenye alama za juu?
ofcourse yes shule haiwi special mpaka authorization ya wizara and after that ndo huwa inaanza kudahili wanafunzi wenye ufaulu mkubwa
 
Kwa mtazamo wangu tabora boys ni shule ya vipaji maalum inayopotea na zisipofanyika juhudi zozote zile za makusudi baada ya miaka mitano hii shuke itapotea katika chati na i think kisimiri ni shule inayokuja kwa kasi kureplace tabora boys.....kwa mfano kwa upande wa advanced level tabora boys imekuwa ikionekana mara chache sana katika top 5 best schools and mwaka huu imekuwa ya kumi na tano...is that a special school??? haipo katika hata shule 10 tu bora za hapa tanzania...na olevel wao ndo hata hawasikiki tanzania ukicompare na olevel wa kibaha au mzumbe...kwa upande wa olevel ushahidi upo hapo chini katika attachment......SPECIAL SCHOOLS HAPA TANZANIA NI:
1.KIBAHA
2.MZUMBE
3.ILBORU
4.KISIMIRI
5.TABORA GIRLS
6.KILAKALA
7.MSALATO
Na kuna hii inaitwa Kibaha Girls kwa habari za jikoni in the coming years serikali ina mpango wa kuifanya special school
******Tabora Boys nimewaweka hapa makusudi coz wasipoangalia watapoea katika chati muda si mrefu****

NOTHING PERSONAL BROTHERS IM JUST TRYING TO THINK OUT OF THE BOX
Ushahidi hapa

Nilipata neema ya kusoma kibaha o level na baadaye Tabora boys shule hizi kweli ni za vipaji maalum zote, lakini zinatofauti sana,angalia mabweni ya Alevel ya Kibaha,walimu lukuki,chakula wanachokula wanafunzi! nakumbuka miaka ile kibaha tulikuwa tuna kunywa uji na sukari saa moja saa nne chai na andazi nk,wali mara 3 na nyama,mwanafunzi hakuchapwa viboko zaidi ya 6.nilipokwenda Alevel Tabora boys hali ilikuwa tofauti kabisa hakuna chai ila uji usio na sukari,wali mpaka siku ya sikukuu lol,walimu wachache mpaka tulikuwa tunaazima wa girls,wanajeshi walikuwa wakichachaa mnapigwa viboko watakavyo wao shuruba mtupu.Mazingira mazuri yanamuweka mwanafunzi ktk nafasi nzuri ya kufanya vizuri.

Kwa kweli wahusika waitendee Tabora boys kama zilivyo shule maalum zingine kama Kibaha,Mzumbe,Iliboru.
Wako wanaohoji uwezo wa kazi wa watu waliopita katika shule hizi kwa kweli wengi wako juu mno kwenye utendaji wao,wale ambao hawakupata bahati kupitia shule hizi wasiponde tu vile walikosa nafasi za kusoma shule hizo.
 
Nilipata neema ya kusoma kibaha o level na baadaye Tabora boys shule hizi kweli ni za vipaji maalum zote, lakini zinatofauti sana,angalia mabweni ya Alevel ya Kibaha,walimu lukuki,chakula wanachokula wanafunzi! nakumbuka miaka ile kibaha tulikuwa tuna kunywa uji na sukari saa moja saa nne chai na andazi nk,wali mara 3 na nyama,mwanafunzi hakuchapwa viboko zaidi ya 6.nilipokwenda Alevel Tabora boys hali ilikuwa tofauti kabisa hakuna chai ila uji usio na sukari,wali mpaka siku ya sikukuu lol,walimu wachache mpaka tulikuwa tunaazima wa girls,wanajeshi walikuwa wakichachaa mnapigwa viboko watakavyo wao shuruba mtupu.Mazingira mazuri yanamuweka mwanafunzi ktk nafasi nzuri ya kufanya vizuri.

Kwa kweli wahusika waitendee Tabora boys kama zilivyo shule maalum zingine kama Kibaha,Mzumbe,Iliboru.
Wako wanaohoji uwezo wa kazi wa watu waliopita katika shule hizi kwa kweli wengi wako juu mno kwenye utendaji wao,wale ambao hawakupata bahati kupitia shule hizi wasiponde tu vile walikosa nafasi za kusoma shule hizo.
Naam nakubaliana na wewe mkuu kiuhalisia mazingira ya Tabora boys sio favourable kwa elimu bora,wanafunzi wanajisomea katika vyoo vya zamani wao wanaviita chemba...disgusting!!!...shule kama museum
 
Naam nakubaliana na wewe mkuu kiuhalisia mazingira ya Tabora boys sio favourable kwa elimu bora,wanafunzi wanajisomea katika vyoo vya zamani wao wanaviita chemba...disgusting!!!...shule kama museum

teh teh museum. Nahc kama kuna tcha wa tbr boys hapa lazma atahamasha mabadlko.
 
UNAMTINDIO WA UBONGO WEWE KAMA UMESOMEA MISHULE YA WALIOFELI FORMSIX KAAPEMBENI KILAZA WEWE,, SHULE VIPAJIMAALUMU NI TABORABoys,kibaha,mzumbe,ilboru kama hutaki kalalwe

Vipaji wapi wakati tumesoma nao vyuoni hawana kitu wa kawaida2..
 
...kila kitu kina zama zake..waachieni chipukizi wawatoe kamasi sasa...
ST. FRANCIS GIRLS SECONDARY SCHOOL
MARIAN BOYS' SECONDARY SCHOOL
FEZA BOYS' SECONDARY SCHOOL
MARIAN GIRLS SECONDARY SCHOOL
CANOSSA SECONDARY SCHOOL
FEZA GIRLS' SECONDARY SCHOOL
ROSMINI SECONDARY SCHOOL
ANWARITE GIRLS' SECONDARY SCHOOL
ST. MARY'S MAZINDE JUU SECONDARY SCHOOL
JUDE MOSHONO SECONDARY SCHOOL
..............................................................................HAWA NDIO KIBOKO YAO
DON BOSCO SEMINARY
 
umeruvugwa wewe kama umesoma shule ambazo sio za vipaji wewe ni kilaza, na shule za vipaji ni tbrboys, kibaha,mzumbe,ilboru kama hutaki jilaumu kwa kufeli toka hapaa tuliosoma shule za vipaji tujadili

Acha dharau wewe kipaji gani ulichonacho??au cha dharau..mm mwenyewe nimesoma kibaha na cjawahi kumdharau mtu itakua wewe uliosoma tabora..???ungesoma mzumbe au kibaha ungesema vp?..mburula mkubwa wewe
 
Acha dharau wewe kipaji gani ulichonacho??au cha dharau..mm mwenyewe nimesoma kibaha na cjawahi kumdharau mtu itakua wewe uliosoma tabora..???ungesoma mzumbe au kibaha ungesema vp?..mburula mkubwa wewe

Asante sana ndg yangu kwa kumpa ukwel huyo mtoto
 
...kila kitu kina zama zake..waachieni chipukizi wawatoe kamasi sasa...
ST. FRANCIS GIRLS SECONDARY SCHOOL
MARIAN BOYS' SECONDARY SCHOOL
FEZA BOYS' SECONDARY SCHOOL
MARIAN GIRLS SECONDARY SCHOOL
CANOSSA SECONDARY SCHOOL
FEZA GIRLS' SECONDARY SCHOOL
ROSMINI SECONDARY SCHOOL
ANWARITE GIRLS' SECONDARY SCHOOL
ST. MARY'S MAZINDE JUU SECONDARY SCHOOL
JUDE MOSHONO SECONDARY SCHOOL
..............................................................................HAWA NDIO KIBOKO YAO
DON BOSCO SEMINARY

UMESAHAU MARIAN BOY'S alaf mkae mkijua kiwa kila kitu kna mwanzo na mwsho BARBRO JOHANSON si ilikuwa inang'ara top 10?? Mbona sas haisikiki na badal yake st.joseph millenium na msolwa wakamreplace so ata hao wakae wakijua kuwa tabora ishafanyiwa replacement na KISIMIRI kilichobaki washindane na pugu, ifunda, tosamagang , minaki n.k
 
...kila kitu kina zama zake..waachieni chipukizi wawatoe kamasi sasa...
ST. FRANCIS GIRLS SECONDARY SCHOOL
MARIAN BOYS' SECONDARY SCHOOL
FEZA BOYS' SECONDARY SCHOOL
MARIAN GIRLS SECONDARY SCHOOL
CANOSSA SECONDARY SCHOOL
FEZA GIRLS' SECONDARY SCHOOL
ROSMINI SECONDARY SCHOOL
ANWARITE GIRLS' SECONDARY SCHOOL
ST. MARY'S MAZINDE JUU SECONDARY SCHOOL
JUDE MOSHONO SECONDARY SCHOOL
..............................................................................HAWA NDIO KIBOKO YAO
DON BOSCO SEMINARY

Ukiona nyani mzee jua kakwepa mishale mingi......mkuu shule za wahitimu 40 kwa darasa!,mpaka waibe mitihani ndo wanasikika ndo unalinganisha na magwiji wa taaluma? zingine hazija fikisha hata miaka 10 kuwepo kwake? hata zingine ndo nazisoma hapo kwenye post yako kwa mara ya kwanza kabisaaaaa! au unazungumzia kwa rank ipi ya mkoa au taifa?.Kuzisifia shule za vipaji siyo kuzidharau zingine ni hali halisi na kuwatia moyo wengine ni vema kama ulivyofanya kuzitia moyo hizo shule ulizotaja.
 
Ukiona nyani mzee jua kakwepa mishale mingi......mkuu shule za wahitimu 40 kwa darasa!,mpaka waibe mitihani ndo wanasikika ndo unalinganisha na magwiji wa taaluma? zingine hazija fikisha hata miaka 10 kuwepo kwake? hata zingine ndo nazisoma hapo kwenye post yako kwa mara ya kwanza kabisaaaaa! au unazungumzia kwa rank ipi ya mkoa au taifa?.Kuzisifia shule za vipaji siyo kuzidharau zingine ni hali halisi na kuwatia moyo wengine ni vema kama ulivyofanya kuzitia moyo hizo shule ulizotaja.
ckatai mtu wng but kuna wengine wamekosa ustaarabu..soma post za ndugu yako MPIGAMSULI then useme huyu alistahiki kusoma vipaji..aache utoto kama ni hivyo hata vyuo vingewekwa maalum
 
Back
Top Bottom