Mbwiga88
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 642
- 142
Kwa mtazamo wangu tabora boys ni shule ya vipaji maalum inayopotea na zisipofanyika juhudi zozote zile za makusudi baada ya miaka mitano hii shuke itapotea katika chati na i think kisimiri ni shule inayokuja kwa kasi kureplace tabora boys.....kwa mfano kwa upande wa advanced level tabora boys imekuwa ikionekana mara chache sana katika top 5 best schools and mwaka huu imekuwa ya kumi na tano...is that a special school??? haipo katika hata shule 10 tu bora za hapa tanzania...na olevel wao ndo hata hawasikiki tanzania ukicompare na olevel wa kibaha au mzumbe...kwa upande wa olevel ushahidi upo hapo chini katika attachment......SPECIAL SCHOOLS HAPA TANZANIA NI:
1.KIBAHA
2.MZUMBE
3.ILBORU
4.KISIMIRI
5.TABORA GIRLS
6.KILAKALA
7.MSALATO
Na kuna hii inaitwa Kibaha Girls kwa habari za jikoni in the coming years serikali ina mpango wa kuifanya special school
******Tabora Boys nimewaweka hapa makusudi coz wasipoangalia watapoea katika chati muda si mrefu****
NOTHING PERSONAL BROTHERS IM JUST TRYING TO THINK OUT OF THE BOX
Ushahidi hapa
1.KIBAHA
2.MZUMBE
3.ILBORU
4.KISIMIRI
5.TABORA GIRLS
6.KILAKALA
7.MSALATO
Na kuna hii inaitwa Kibaha Girls kwa habari za jikoni in the coming years serikali ina mpango wa kuifanya special school
******Tabora Boys nimewaweka hapa makusudi coz wasipoangalia watapoea katika chati muda si mrefu****
NOTHING PERSONAL BROTHERS IM JUST TRYING TO THINK OUT OF THE BOX
Ushahidi hapa