johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,119
Diwani wa CCM mkoani Tabora ameuawa kwa kukatwakatwa mapanga na watu wasiojulikana.
Watuhumiwa sita wanashikiliwa na jeshi la polisi hadi sasa na OCD amesema idadi hiyo inategemewa kuongezeka
Mkuu wa mkoa wa Tabora mh Mwari ameagiza msako mkali uanze mara moja ili kuwanasa wauaji.
Nao madiwani wa mkoa huo wamesema kutokana na utendaji kazi wao uliotukuka wamekuwa wakipokea vitisho mara kadhaa hivyo wamemwomba mh Mwanri awapatie ulinzi.
Rip Diwani
Source ITV habari!
=====
Diwani kata ya Usunga wilayani Sikonge mkoa wa Tabora ameuawa na watu wasiojulikana kwa kutumia vitu vyenye ncha kali vinavyodhaaniwa kuwa ni panga.
Diwani huyo aliyefahamika kwa jina la Alfred Masamalo amefariki akiwa na umri wa miaka 47 ameacha mke na watoto sita (6).
Watuhumiwa sita wanashikiliwa na jeshi la polisi hadi sasa na OCD amesema idadi hiyo inategemewa kuongezeka
Mkuu wa mkoa wa Tabora mh Mwari ameagiza msako mkali uanze mara moja ili kuwanasa wauaji.
Nao madiwani wa mkoa huo wamesema kutokana na utendaji kazi wao uliotukuka wamekuwa wakipokea vitisho mara kadhaa hivyo wamemwomba mh Mwanri awapatie ulinzi.
Rip Diwani
Source ITV habari!
=====
Diwani kata ya Usunga wilayani Sikonge mkoa wa Tabora ameuawa na watu wasiojulikana kwa kutumia vitu vyenye ncha kali vinavyodhaaniwa kuwa ni panga.
Diwani huyo aliyefahamika kwa jina la Alfred Masamalo amefariki akiwa na umri wa miaka 47 ameacha mke na watoto sita (6).