Table manners

Nitafute fedha kwa kupangiwa na kufuata sheria kibao na wakati wa kula nipangiwe tena sheria jamani?????? Big NO! Ni sisi waafrika tu na ulimbukeni wetu! Mbona waarabu, wachina na wahindi wana mila zao za kula na wanaziheshimu? BTW Mimi sitakaa nizoee huyu mdudu anayeitwa eti western table manners! Hata ninapokuwa kwenye sehemu zinazohitaji nile kwa mpangilio huo mimi huwa sifurahii kabisa chakula.
 
uzungu mwiiiiingi,Africans tuna utumwa wa kifikra,ndo tuliachiwa huo.kitu ugali mlenda,hivyo vyuma vinatafuta nn??tujielewe sasa
 
Hili zoezi linawashinda watu wengi sana linawasumbua Thx Sky Γ‰clat
 
He he he sasa afanyaje mwee. Ila jamaa naye, hivyo si vitu vya kufundishana tu. Ni bora mtu aagize chakula ambacho amekizoea na hakina mbwembwe kuliwa


Halafu pia ni vizuri kujifunza, sasa kama huyu dada nae utanyanyua vipi bakuli ya soup, ukimwaga?
Na toka lini kipande cha nyanya au mfano yai la kukaanga vikashikwa na mkono si vitateleza? Kutumia Uma ni rahisi zaidi.

Halafu haya mambo ya kujifanya sitaki uzungu, kuna mtu alikula spaghetti na mkono hotel, jamani ilikuwa vituko mbona.
 
Spaghetti unakimbizana nayo,πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Reactions: kui
Kweli kujifunza napo sio mbaya. Sio lazima but ukivijua ni vyema pia na haikudhuru chochote. Si mbaya kwenda na speed ya mwendokasi lol
 
Reactions: kui
Kweli kujifunza napo sio mbaya. Sio lazima but ukivijua ni vyema pia na haikudhuru chochote. Si mbaya kwenda na speed ya mwendokasi lol
Umkute kaka mwenyewe brother men, anaona so hata kuongozana na wewe kutoka nje ya restaurant.
 



Huu mpangilio wa cutlery (vijiko, Uma, kisu) kuvitumia ni kutoka nje kwenda ndani. Vya upande wa kulia utaanza na soup spoon going inside, na kushoto utaanza na salad fork. Kama sijakosea Sky.
 
Mmh unataka na me nikashike mayai kwa mkono. Em nipe x-phoza huko


Eti yai kwa mkono, halafu la kukaanga, imekuwa chapati πŸ™‚

Afadhali na yai, sasa spaghetti je?, kisa mtu hataki uzungu.
Shida nyingine za kujitakia kwa kweli.
Uliona mwingine alisema akitumia uma na kisu hashibi wakati idadi ya chakula ni kile kile anachokula kutumia mikono...lol
 
Hii nmeleewa, ila ya mwanzo kanuni kama hisabati vile
 
View attachment 382713


Huu mpangilio wa cutlery (vijiko, Uma, kisu) kuvitumia ni kutoka nje kwenda ndani. Vya upande wa kulia utaanza na soup spoon going inside, na kushoto utaanza na salad fork. Kama sijakosea Sky.
Teh sasa hivi hata sikuelewi ticha. Tutaonana muda wa darsa
Eti yai kwa mkono, halafu la kukaanga, imekuwa chapati πŸ™‚

Afadhali na yai, sasa spaghetti je?, kisa mtu hataki uzungu.
Shida nyingine za kujitakia kwa kweli.
 
Table manners, ustaarab, navyo ni janga la taifa. Asante kutukumbusha japo moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…