Table manners



We mwenye IQ kubwa FYI, ukialikwa mahala kula sio uungwana kwenda mikono mitupu, ni vizuri kubeba zawadi kwa wenyeji wako mfano kinywaji.
 
We mwenye IQ kubwa, ukialikwa mahala kula sio uungwana kwenda mikono mitupu, ni vizuri kubeba zawadi kwa wenyeji wako mfano kinywaji.

Utamaduni wa wapi huwo?
 
umenikumbusha kitabu kinaitwa haifai. wanasema. usiongee na mtu ng'ambo ya meza, ukidondosha kijiko usiokote (omba kingine), usiweke viwiko juu ya meza, usijihuzunishe na kujitia kuboreka wakati wa kusubiri msosi, usivute mchuzi hadi kupiga mluzi........
 
Jamani endeleeni kutuelezea. Asante sana.
 
Sky Umenikumbusha hii clip ya Pretty Woman na hizi table manners, bidada karusha chakula kwenye formal dinner kwa kushindwa kushika kijiko maalum...lol!

Halafu
V. Where's the salad?
E. The salad comes at end of meal
V. That's the fork I know!... 😀


 
Mchumba naona umemaliza kila kitu, vipi unajua kupika lakn?
 
Reactions: me1
Mmmh! Niliumbwa na mikono miwili niitumie hizo uma , visu, kijiko n.k
 
Kuna siku nlikua mahali, nlikua na njaa nikapewa kuku (kidali) ilibidi nimle kwa mkono watu wakipita najifanya nimeshika umma na kisu, wakiondoka naendeleza kwa mkono
Tabu yote ya nini...ungenawa tu ule kwa amani.....

Ila wakati mwingine ndio maana naagizaga steki.....haina complication kama kuku...mara umegonga mfupa....
 
Hakuna kitu napenda kujifunza kama hivi,asante kwa darasa...
Nimepanua wigo wangu wa uelewa katika haya.
Cheers
 
Hahaha nishazoea kufinya kwa mkono mbona balaa. Hiyo siku ukae tu mbali maana hukawii kukuta uma umeslide hadi jichoni kwako, huku kyuku kimegomea kisu, kyuku chini. Ntamuokota mbona nimfute nimkandamize kwa mkono teh, wageni watanitimuaje teh teh
Hahahahaha itanitia aibu ujue....

Au ndio kila ukipeleka kisu unagonga sahani, kitu ti ti ti macho yote kwako...hahahahahah

Bora uombe radhi una allergy na silver+chuma....unawe uufinye
 
Kuna siku nlikua mahali, nlikua na njaa nikapewa kuku (kidali) ilibidi nimle kwa mkono watu wakipita najifanya nimeshika umma na kisu, wakiondoka naendeleza kwa mkono

Ninavyopenda kula kuku kwa mikono sasa
Uwiiiii
 
Hahahahaha itanitia aibu ujue....

Au ndio kila ukipeleka kisu unagonga sahani, kitu ti ti ti macho yote kwako...hahahahahah

Bora uombe radhi una allergy na silver+chuma....unawe uufinye
Aibu utaona wewe mbona lol.

Yani ntawaumiza masikio kwanza, maana ntagonga gonga sahani hadi ijute. Me ntamkata tu akidondoka namuokota, hadi nizoee, ntafanyaje sasa while nataka na me nisipitwe na table manners, nisije nikakosa dinner na wazungu lol
 
nilivyoona huu uzi na mimi nliliikumbuka hii movie. nyingine ni gangster squad. Sean Penn anahangaika na nyuma (forks).
 
Reactions: kui
Hihiiiiiiii.
Yani macho yote yatakuwa kwako.....
Heri kula na mkono ti aisee...kwanza inafanya chakula iwe kitamu zaidi
 
Ungesema Table manners za kizungu...Mfano hizo utensils zote ni za kizungu. Sasa kama jinsi ya kuzitumia nayo sehemu ya "table manners" basi hizo "table manners" ni za kizungu...Hii ni "Effect of Neo-colonialism"...Ukienda Japan hutakuta wanatumia hizo principle/manners ulizozitaja..Wana utamaduni wao tofauti. Na unakuta wanakula kwa namna ya tofauti. Ila wewe unaishi utamaduni wa watu wengine na unajaribu kuutangaza..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…