Tabia za wazungu

Tabia za wazungu

Hawa jamaa kwao hawaingii chooni na viatu popote pale kwakua wamezoea kwao choo ni kitu kikubwa sana kwenye nyumba akitaka kukodi au hoteli anaingia chooni kwanza na jikoni pa kulala yeye ni popote poa tu.

Wanatabia ya kuamini sana hata kama umemdanganya yeye anajua ni ukweli mfano unamiaka 35 ukimwambia una 22 anaamini kwakua kwao hawana utamaduni wa kusema uwongo.

Wanatabia ya uchoyo au wivu hasa wakiwa kwao lakini hapa wanaona kawaida.

Hawajui kusaidiana hata kama ni mtu na girlfriend wake wakinunua soda moja kila mmoja anachangia sh.350.

Ni watu wa ahadi sana niliwahi kufanya kazi hoteli wakikwambia chakula wanakula sa1 usiku hata kama wako 20 tena wamenda safari tofauti lakini ikifika sa1 kasoro unawakuta wapo juu ya meza wameshakaa wanakusubiri wewe, hapo kama ni waafrika mpaka wapigiane simu au wengine wanaweza wakawambia tupunguzieni pembeni.

Hawa jamaa huwa wananiacha hoi sana unapowatajia jina lako mara moja tu hawakuulizi tena unaitwa nani tena hata kama amekaa siku 2 tu pamoja na anaweza akasafiri akarudi baada ya miezi 6 atakwita jina lako wala hakosei

Lakini waafrika wanaweza kukuuliza jina tu kwa siku anashau mara 20.

Na kama unafanya kazi hotel bora kuwahudumia wazungu 100 kuliko Waafrika 5 ni kero sana kwa Muafrika hasa akipata vipesa vya kulipiwa kwa semina


Kwa kweli wana mengi ya kujifunza na mengine ya kuwaachia wenyewe sisi yale ya ushoga

Mzungu wa kumwamini ni alie kufa tu basi.

Huu utuwa wa fikra hauta kwisha kwako ndugu, hivi ili umsifie mzungu ni lazima umtoe kasoro mwaafrika mwenzako??

Umebeba mzigo mzito sana ndani ya ubongo wako kwa utukuza uzungu na kuubeza uafrika wa baba, mama,bibi na babu zako.

Sifa kuu ya binadamu ni kukosa ukamilifu ndiyo maana akaitwa binadamu wakubali waafrika wenzako japo kwa hayo mapungufu yao maana ukiyajua mapungufu ya wazungu utajutia hapa hiki ulichokiandika hapa.
 
We umekutana na waromania,russia au wapolish.hao si wazungu
 
Hahahhaha!!

Ila mnajua wazungu wengi wanaokuja huku kama ma voulunteer ni wa hali duni sana huko kwao! Yani kama ni mazingira ya dar ni wale ambao hawajui cha mlimani city, shoperz plaza, samak samak, wala maisha.

Mtu kuishi na hawa watu hapa bongo na kugeneralise kuwa wazungu ni hivi vile na vile ni sawa na mzungu huyo kuja hapa bongo kwenda kule vijiji vya ifwedete na kuondoka kusema watanzania wako hivi hivi na hivi.

Mimi kuna wazungu nilikutana nao huku kwenye ka project halafu nikaenda sydney kwa kama mwaka.

Yani ilikua siwezi toka nao sababu club za maana hawawezi kuingia kwaio ikabidi wao ku chill nao weekend moja moja, sijui kwenda camping, vuta ganja na mambo mengine mengine.

Kwaio hawa watu wametofautiana sana!

Volunteers wako cheap sana. Wanaishiwaga hadi kuwapelekea kuishi guest za 5000 na kula kwenye vigenge vya mama ntilie,fly catcher huwa wanawachuna na kuwakimbia Pindi wanapoishiwa. Nimewagonga sana hawa viumbe hadi wengine tukakasirikiana kwa kuwachanganya. Ila sijawahi kuwa approach zaidi ya kuwashikashika pindi wamepiga maji na kuwachapa nao.
 
Nimeishi na hawa watu kwa muda mrefu sehemu tofauti tofauti hapa Tanzania. 1. Huwa hawachambi kwa maji wala kutumia lesso katika kufuta makamasi. 2. Asilimia kubwa huwa wanapenda wanaume marasta na wasiokuwa na na future na maisha ya mbele. 3. Wanapenda kuingia msalani peku kwenye hotel/hostel hata kama ni vya kushare. 3. Wengi wao huwa hawatumii tooth pick baada ya kula. 4. Wengi wao hawana dini,hasahasa vijana wa kisasa. 5. Wakiwa nchini huwa wanapenda kuvaa ovyo,na wanaweza kuvaa nguo za ndani bila kufua kwa muda mrefu tofauti na wakiwa nchi zao. 6. Asilimia kubwa wamechora tatoo,wanawake tatoo zao ni za vipepeo. 7 Hawawezi kucheza mziki zaidi ya kurusha rusha mikono na kutokwa na jasho. Harufu za ngozi zao huwa zina harufu mbaya na ni moja kama ilivyo kwa wamasai. Na ni warahisi kuwachukua kimapenzi wakiwa wameshakunywa,hasa hasa wale mavolunteer na wanafunzi. Na mnaweza mkaendelea na nyingine......

Vile Vile Wana AKILI Sana Na Mno Ya Hadi Kukushinda Wewe Uliyeanzisha ama Kuleta Uzi Huu.
 
Nachowapendea hawa wazungu hasa wa scandinavia kitu cha kwanza mtoto akiianza shule anafundishwa ukweli na uaminifu. Walikuwa rough sana karne zilizopita na hali duni ya kimaisha ila walijifunza wakaamua kubadilika. Je unaweza amini Ethiopia iliisaidia Norway msaada wa chakula ngano miaka ya 60. Sasa piga picha mwenyewe
 
Wazungu wenye roho mbaya ni mgiriki muhispania mreno na muitaliano. Ni wabaguz kupita kias na ni vigum sana kuona na weus. Ni wavivu na wanapenda kuparty sana ndio maana chumi zao zimedorora halaf wanajiona high class sana. But aryan or Caucasin hawa wa kaskakazin ni poa ndio maan
 
Nimeishi na hawa watu kwa muda mrefu sehemu tofauti tofauti hapa Tanzania. 1. Huwa hawachambi kwa maji wala kutumia lesso katika kufuta makamasi. 2. Asilimia kubwa huwa wanapenda wanaume marasta na wasiokuwa na na future na maisha ya mbele. 3. Wanapenda kuingia msalani peku kwenye hotel/hostel hata kama ni vya kushare. 3. Wengi wao huwa hawatumii tooth pick baada ya kula. 4. Wengi wao hawana dini,hasahasa vijana wa kisasa. 5. Wakiwa nchini huwa wanapenda kuvaa ovyo,na wanaweza kuvaa nguo za ndani bila kufua kwa muda mrefu tofauti na wakiwa nchi zao. 6. Asilimia kubwa wamechora tatoo,wanawake tatoo zao ni za vipepeo. 7 Hawawezi kucheza mziki zaidi ya kurusha rusha mikono na kutokwa na jasho. Harufu za ngozi zao huwa zina harufu mbaya na ni moja kama ilivyo kwa wamasai. Na ni warahisi kuwachukua kimapenzi wakiwa wameshakunywa,hasa hasa wale mavolunteer na wanafunzi. Na mnaweza mkaendelea na nyingine......

Tuelezee na tabia za wangoni.
 
Nilisikia kipindu pindu kiliua sana scandinavia miaka ya sitini 60s. Lakini ilipofika miaka ya sabin ikawa historia na kuaapa kamwe haitatokea. Sasa hawa wameweza kwanini na cc Waafrika tusiweze. Inawezekana tatizo ni kwamba tunarithishana umaamuma vizazi na vizazi na kila kizazi kipya umaamuma unaintesify. Angalia kama kizazi hichi vyuo vikuu vingi wahitim we nye degree ni wengi lakini hali ya maisha inazid kuwa duni ukilinganisha nyuma.nyambaff zetu
 
Wazungu wengi wana harufu fulani hivi, siipendi. Sijui ni mafuta!

Harufu huchangiwa pia na bakteria wanaoishi kwenye ngozi,wasio na madhara; tunaita normal flora. Hawa wanaeza tofautiana kulingana na asili ya ngozi,na mtu asipooga huzalisha uchafu zaidi na harufu mbaya. Kwahiyo vile tunavosikia harufu mbaya kwao,basi na wao hutuona waafrika tuna harufu mbaya pia.
 
Harufu huchangiwa pia na bakteria wanaoishi kwenye ngozi,wasio na madhara; tunaita normal flora. Hawa wanaeza tofautiana kulingana na asili ya ngozi,na mtu asipooga huzalisha uchafu zaidi na harufu mbaya. Kwahiyo vile tunavosikia harufu mbaya kwao,basi na wao hutuona waafrika tuna harufu mbaya pia.

Hawawazidi wachina, wachina wananuka sijui harufu ganii,kuna mmoja alipanda basi nilikuwemoo basi zima lilibadirika harufu
Wazungu mbona wengi wasafi tu nishakutana nao baadhi wananukia vizuriii mafuta yao waliopaka,ila na wachafu wapo tuuu sidhan ni wasafi wotee
 
Hawa dada zetu wanaotongozwa na waitaliano sijui hawajui hawa jamaa ni wahuni kupita kiasi? Nishajijengea picha kila mwanamke anayekuwa na muitaliano,kashafanyiwa ushenzi wote. Hawa jamaa mapenzi yao ni ya kukomoa na kudhalilisha,halafu na vurugu pamoja na dharau kipindi wamelewa.
 
Utakuwa umekaa sana West Europe.

Njoo siku moja Poland, utabadilisha usemi wako kuhusu uchoyo.

Kila mtu kula vyake, nakubaliana sana na hilo. Ila kama huna, atakusaidia sana. Kuna dada hapa huwa akienda club, anabeba weusi kibao na wakianza kununua, hununua watakacho na yeye mwishoni hutoa kadi yake na kulipa. Sema uzuri ni kuwa na wao huwa wanamfanyia manunuzi mara moja moja na hivyo kundi zima wanapendana sana.

Nimejifunza kitu kimoja kuwa, masikini wengi wana roho mbaya na hasa kama wametajirikia ukubwani. Wengi waliozaliwa kwenye familia tajiri na kukulia kwenye utajiri, hawajali sana fedha kama ameshakupenda (love or like).

Pia vijana wengi, hata kama wazazi ni matajiri, hataki fedha yao. Atachakalika hadi awe na ya kwake. Unaweza kushangaa kijana anapanda mabasi/metro ya mjini wakati kwao wana duka kubwa sana la kuuza magari. Watoto wanafundwa kujitegemea haraka sana. Ila pamoja na kugoma misaada ya wazazi, huwa wanapewa vizawadi mara wakimaliza shule, wakianza kazi au wakiowa na hata mara nyingine wakipata driving licence. Zawadi hizo huwa mara nyingi magari na nyumba za kwenye magorofa. Ila bado hela ya mafuta hatachukua kwa baba.

Nikuulize ivi kwani wazungu wako poland tu?
 
Wazungu wenye roho mbaya ni mgiriki muhispania mreno na muitaliano. Ni wabaguz kupita kias na ni vigum sana kuona na weus. Ni wavivu na wanapenda kuparty sana ndio maana chumi zao zimedorora halaf wanajiona high class sana. But aryan or Caucasin hawa wa kaskakazin ni poa ndio maan

mjerumani je?
 
Ndiyo!!!!


3623006300.jpg



Nikuulize ivi kwani wazungu wako poland tu?
 
Pia ni wanafiki sana wanauma na kupuliza pia kitu kidogo tu wameshatuma Email ila ukiwakolomea ni waoga sana wanaomba msamaha.
 
Wazungu wengi wana harufu fulani hivi, siipendi. Sijui ni mafuta!
Halafy wazungu wanasemaga weusi tuna harufu mbaya sana.kila ngozi iko na harufu yake. Mimi ni mbongo na nimeishi ulaya miaka 17 na uwa nikijaga bongo yaani harufu za watu huwa some of them in mbaya, siyo kwamba hawaogi no tofauti ya nguzi ya MTU na hali ya hewa. Mbona wengi tu wananuka vikwapa hata wapake nini., harufu no mbaya
 
Back
Top Bottom