Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,479
- 5,160
Walio wengi hawaogi kupunguza bajeti ya maji, kupika nako si sana ili kupunguza gharama za umeme...
Pia tutifautishe uchoyo na uwajibikaji. Mzungu mnapoenda hotelini kila mtu mwenye uwezo wa kujilipia akajilipia ni moja Kati ya kufanya kila mtu agharimikie matumizi yake kitu ambacho huwezi kuita uchoyo. Ifike mahali Africa iwe hivi tusirudishane nyuma. Umeenda kusalimia bila taarifa hatokupikia au kukupokea na hii pia si uchoyo kwani bajeti yako haipo. Hata wewe muafrika utapika wakati unanung'unika kudhihirisha kwamba hujafurahia. So tofauti si kuwa au kutokuwa mchoyo ila ni mmoja kuwa mnafiki na mwingine kuwa mkweli.
Kama mtu anashida kwelikweli mzungu anasaidia Sana tu. Ila Kama unajiweza na si muhitaji usitegemee kusaidiwa na mzungu. Kwa kifupi ninapenda maisha yao yasiyo na maigizo kwa wengi wao
Pia tutifautishe uchoyo na uwajibikaji. Mzungu mnapoenda hotelini kila mtu mwenye uwezo wa kujilipia akajilipia ni moja Kati ya kufanya kila mtu agharimikie matumizi yake kitu ambacho huwezi kuita uchoyo. Ifike mahali Africa iwe hivi tusirudishane nyuma. Umeenda kusalimia bila taarifa hatokupikia au kukupokea na hii pia si uchoyo kwani bajeti yako haipo. Hata wewe muafrika utapika wakati unanung'unika kudhihirisha kwamba hujafurahia. So tofauti si kuwa au kutokuwa mchoyo ila ni mmoja kuwa mnafiki na mwingine kuwa mkweli.
Kama mtu anashida kwelikweli mzungu anasaidia Sana tu. Ila Kama unajiweza na si muhitaji usitegemee kusaidiwa na mzungu. Kwa kifupi ninapenda maisha yao yasiyo na maigizo kwa wengi wao