Kuna mmoja tulisoma nae alikua kilaza hatari
Bado tu hamjaacha kutuongelea jamani!
I used to in the past but not in professional level though the potential was there.
Huyo atakuwa aliambukizwa humo humo darasani kwenu...
Wakipelekwa shuke Wana uwezo mzuri kwenye somo la hisabati.
Not true!Wana mwandiko mbaya... Wana panic kirahisi, huwa wana mikwara Sana
Huwa wanaumwa tumbo la kuhara mara kwa mara...
wish ningkuona unavyosakata kabumbu