King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,644
- 68,594
Nenda kwa shigongo akupe page moja unaonekana ni mtunzi mzuri sana!
we jamaa una akili sana umechunguliaaa ukagundua tatizo ushamaliza mke amejiaciha kwa raffikie sasa rafiki ataka pindua gari.safi sanaongea na mkeo mwambie aache kujisifia kwa huyo bi dada kuwa ana mume mzuri(ambaye ni wewe). Kati ya udhaifu na tabia mbaya waliyonayo wanawake ni majivuno. Ninakueleza hivi kwa kuwa nina uhakika mkeo lazima atakua anakupamba wewe mbele ya huyo bi dada kuwa hata kitandani u machachari.
jua kabsa ndoa yako inanyemelewa na shetani wa ugomvi mkimbie haraka kwa kuvaa sura ya kazi usijiekee kitanzi shingoni.
Mambo mengine huwaga ni marahisi lakini watu tu ndiyo huyafanya yawe ama yaonekane kama vile ni magumu.
Kwenye hilo unalolizungumzia hakuna quandary hata kidogo.
Naweza kusema ni wewe mwenyewe ndiyo unayeendekeza yote hayo.
Huna msimamo madhubuti wala thabiti.
Ungekuwa nao ungekuwa ushamueleza kwa namna moja ama nyingine kutofurahishwa kwako na mwenendo wake.
Hakuna hata haja ya kumwambia jamaa yake. Mwambie tu yeye mwenyewe na usimpe mwanya wa kufanya ujinga wake.
Kuna mtu kaiba ID?
ongea na mkeo mwambie aache kujisifia kwa huyo bi dada kuwa ana mume mzuri(ambaye ni wewe). Kati ya udhaifu na tabia mbaya waliyonayo wanawake ni majivuno. Ninakueleza hivi kwa kuwa nina uhakika mkeo lazima atakua anakupamba wewe mbele ya huyo bi dada kuwa hata kitandani u machachari.
Kwa nini?
Mambo mengine huwaga ni marahisi lakini watu tu ndiyo huyafanya yawe ama yaonekane kama vile ni magumu.
Kwenye hilo unalolizungumzia hakuna quandary hata kidogo.
Naweza kusema ni wewe mwenyewe ndiyo unayeendekeza yote hayo.
Huna msimamo madhubuti wala thabiti.
Ungekuwa nao ungekuwa ushamueleza kwa namna moja ama nyingine kutofurahishwa kwako na mwenendo wake.
Hakuna hata haja ya kumwambia jamaa yake. Mwambie tu yeye mwenyewe na usimpe mwanya wa kufanya ujinga wake.
Naona ume take time na kumshauri kwa upole kabisa.
Kwa kawaida unaandika mstari mmoja ikizidi miwili; tena si rahisi kuelewa unachomaanisha.
Lakini leo ni tofauti!