Tabia za mashemeji zangu hazieleweki

Tabia za mashemeji zangu hazieleweki

ngonyango

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2017
Posts
1,887
Reaction score
1,623
Wadau,

Hawa mashemeji zangu wa kike wapo kama watatu ambao tunaivana sana wawili tunakaa nao mmoja huja na kuondoka ni washkaji wakaribu lakini wamezoea chumbani kwetu na dada yao kupita kiasi yaani imefikia mahali wameacha hata kugonga mlango wa chumbani.

Sijui ni uzungu au nini yaani dada yao hana habari kabisa wala hastuki huwa wanavaliana nguo, viatu nk hivyo muda wowote ndani, matokeo yake huwa wananikuta kifua wazi na taulo nk nk.

Hawajali na wao huwa wanavaa kihasara hasara hivyo yaani kuwachungulia chupi siyo ishu sana, kimsingi wananitamanisha sana naona kama wananipa mtihani wa urijali wangu.

Hii wanafanya hata kama dada yao hayupo, wapo free naweza kuwa nimejilaza chumbani unastukia shemeji huyo kaja kutafuta kiatu nk nk uvunguni, kabatini.

Mashine inasimama mpaka najuta, sasa niko kwenye dilemma manake sijajua nikijaribu kuomba itakuwaje halafu sitaki kuwa mnoko kwa kuwakataza ingawa huwa namwambia wife kiaina ila wanatamanisha.

Kwa kifupi niko kwenye dilemma kuu.

Naomba ushauri wadau ishu iko serious
 
Me zamani wawili niliwala uwiiii,nilikuwa tukitoka kazini usiku na dadaake tunaingia chumbani kwake na vitafunwa vya asubuhi kumuwekea kwa sababu tunlikuwa tunachelewaga kuamka yeye anawahi,sasa tukiingia kikanga kimetupika kulee chupi ya kawaida imezama matakoni,na alikuwa kidogo kafungasha,moyo ukawa unasumbuka ila dada mtu hakuwa anajali,nikamueleza kuwa mimi napata usumbufu huyu ni mdogo wako na ni mkubwa above 18 na mimi kichwa cha chini hakina amani,mwanzomwnzo nikawa nikiona tu dada mtu namkomoa mpaka kiwango cha show kikapanda kumbe navutia kwa mdogo wake.baada ya kumuelez akaelewa lakini ile damage ya kichwa cha chini ikawa tayari imezidi cha juu.Nilimuomba akanipa,yaani nlijisevia haswa.
 
Zungumza na dada yao,ikiwezekana msiishi pamoja nao, kwani kuendelea kukaa nao kutahatarisha mahusiano yako na dada yao.
 
Kula wote aisee,wakijuana kuwa umewala wote ndo watakuheshimu,then jitahdi uwapige wote ki zygote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom