MR LINKO
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,034
- 3,481
Kwa utafiti wangu mdogo niliofanya nimegundua kwamba tabia za mama mkwe ndio tabia za mkeo upende usipende. Kwa hiyo kama una mpango wa kuoa usiishie kumchunguza mchumba wa kike ambaye wakati wa uchumba anakuwa anaishi maisha ya kuigiza bali pia hangaika kumchunguza mama mkwe.
Kwanini mama mkwe?
1. Mama mkwe ndie aliyemlea mkeo mtarajiwa kwahiyo mchumba wako atakuwa ameiga na kufundishwa kuwa na tabia kama mama yake
2. Mara mwanamke anapoolewa Mshauri mkuu ni mama yake mzazi(napenda uamini hili) kwahiyo maisha yake kwenye ndoa yatategemea ushauri wa mamaye
3. Ikitokea mfarakano kwenye ndoa na kama mwanamke ndio tatizo mama mkwe ndie mtu pekee anayeweza kumbadilisha mkeo katika njia sahihi.
Molembe pia alishawahi kusema hivi;
Kwanini mama mkwe?
1. Mama mkwe ndie aliyemlea mkeo mtarajiwa kwahiyo mchumba wako atakuwa ameiga na kufundishwa kuwa na tabia kama mama yake
2. Mara mwanamke anapoolewa Mshauri mkuu ni mama yake mzazi(napenda uamini hili) kwahiyo maisha yake kwenye ndoa yatategemea ushauri wa mamaye
3. Ikitokea mfarakano kwenye ndoa na kama mwanamke ndio tatizo mama mkwe ndie mtu pekee anayeweza kumbadilisha mkeo katika njia sahihi.
Molembe pia alishawahi kusema hivi;
Kabla hujaoa chunguza tabia ya mama mkwe wako
Mara nyingi mabinti huchukua tabia za mama zao aidha kwa kurithi au kuadapt hivyo ni bora kabla ya kuoa mchunguze mama mkwe maana tabia yake ndo tabia ya mkeo mtarajiwa, kama mama mkwe anachepuka basi tegemea hata mkeo atachepuka ni vizuri pia kuchunguza jinsi wazazi wa mchumba wako wanavyoishi...
www.jamiiforums.com