Tabia za akina dada zinazonikera!!

Makubwa!
 
Ila kweli sisi wanawake bwana.
*Dame akishakuwa aone attention anayopewa, akishaambiwa ni mzuri tu bhaass. Dharau zinaanza hata kwa wanawake wenzie.
* fake accents make me sick, halafu when you pay attention, the grammar is poor.
*desperation- running back to a man who hurts you over and over again in the name of love. ****.
 
Ni kweli kabisa. Kila corner hapo Dar utakutana na fake accents/poor grammar.
 

hapo kwenye red....yaani ni kinyaa kwa baadhi ya dada zetu
 

Hapo Lara umesema Ukweli jitu linajileta na gari la kuazima.viatu vya mjomba mashauzi kibao.linanuka kikwapa hata deodorant halina.Hela limekopa kwa mshikaji wake za vinywaji.
Mie uwa naanza kutangaza njaa kwanza hela ya mafuta ya gari pesa ya kupeleka gari servive hela ya shopping hapo najisemesha kusikilizia kwanza.
Akiwa wa Ukweli utaona anakutimizia hapo jua ana nia ila hawa wapenda ngono atakimbia arudi tena.Hapo na mie nakuwa nime save kuchakachuliwa lol.
Na nyie wanamme mkome kabisa na tabia zenu za kunuka midomo miguuu na mikojo mkivua vichupi vyenu au kwa sababu tumewakalia kimya.
 
Too bad, Wengi wetu hatufanyi hayo kwaajili ya kuwapls nyinyi.
 
true!!
 
Naongeza .... Kunipigia simu na kumbonda msela wangu, halafu kuniulizia namba ya sharo.
Kutovaa shanga .... why? Huh?
 

He heeeeeiyaaaa,tenaaaaaa.....hapo chacha
 


Hahahahahaaaaaaaaaa! hapo kwenye kunuka midomo, Miguu na mikoja, umewachomaaaaaaaa kama msumari, maana umeingia kote, kote, ila shauri lako watakushambulia akina kaka Mtambuzi na The Boss mm simo.
 

safiiii!100%
 
wengine hawavai nguo za ndani aka cH.upi

Dar joto kali sana, kwa hiyo hata mm sivai, Mr wangu kasemaaa mpk sasa kazoea, ailijitahidi hadi kununua za cotton , mikamwambia hapana nachubuka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…