Tabia za ajabu kwa wanaume

Siku hizi kuna kasumba ya wanawake kulazimisha ndoa kufanyika haraka Hata Kama mwanaume hakuwa tayari au kujipanga!
Matokeo ndo hayo mimba zisizotarajiwa na wanaume!
 
ZIWA LILILOLALA UKIWA UNALINYONYA, NI KAMA UNAKUNYWA MAJI YA KANDORO VILE
 
Mama yangu ameolewa hata hivo,sasa wewe unalaza ziwa kwa kunyonyesha vibabu utajifananisha na waliozaa na kulea?
 
Mama yangu ameolewa hata hivo,sasa wewe unalaza ziwa kwa kunyonyesha vibabu utajifananisha na waliozaa na kulea?
Halafu wewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani vibabu ndivyo vinavyolaza maziwa?
 
Taahira mwenyewe kabla sijasahau
 
wewe kweli yambuna,hueleweki ulichoandika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…