Tabia za ajabu kwa wanaume

Tabia za ajabu kwa wanaume

Pambana na aliekufanya uwe single mother bila hivyo umpate ambae nae anajua kudeal na kitu ndala bila hivo kumpa papuchi mtu ambae hana mtoto wataendelea kusafisha rungu na kutembea
 
usiwe na jazba na wanaume......mwanaume ni mwanaume tuu...
 
Bila shaka wewe ndo joyce..
Hapo sijui ulikua una type mtusi gani
31824057_1690907727692946_6767763526619496448_n.jpg
 
Mwanaume kuoa single mother ni kujishushia hadhi, Mwanaume kuoa mwanamke ambaye amezalishwa ni kujishushia hadhi. Its the same principles.
Mwanaume aliyekamilika hawezi kuoa mwanamke ambaye amekwishazalishwa,
 
Mwanaume kuoa single mother ni kujishushia hadhi, Mwanaume kuoa mwanamke ambaye amezalishwa ni kujishushia hadhi. Its the same principles.
Mwanaume aliyekamilika hawezi kuoa mwanamke ambaye amekwishazalishwa,
Nakupinga mkuu kwani mwanamke aliyezaa ukimuoa ana shida gani?
 
Jamani kuna baadhi ya wanaume wanakera sana naomba kabla ya kuumaliza siku ya leo naomba nitoe la moyoni,, utakuta mwanaume anaandika threads,sms au post za hivi ''unakataa kuolewa wakati ziwa limelala km ndala au anaandika umezalishwa mitoto mitatu alafu bado una ringa,,, hivi wewe mwanaume unae andika hivi una mama?? na km unae ulinyonya?? na km ulinyonya maziwa wa mama ako yakoje?? naomba kukuambia ukweli tu km wewe ni mwanaume mwenye tabia hii basi jua wewe ni taahira

Mungu awabariki.
uko sawa hata me cpenda kumwambia mtu hvo ni vibaya sana ,mimi ni m1 wa watu ambao sipendi mwanamke azalilike kama nikikuta m/ke na m/ume wanalia ase m/ke ntaanza kumsaidia hata nikimkuta m/ume anamdhalilisha , kumuonea m/ke huwa natetea sana(sijisifii) , , , , , ,lakini na nyie mjibehave kdgo , hv unajua mwanaume ukihemshim yeye atakuheshim zaid (ingawa co wote), , mwishona nyie badiliken [HASHTAG]#waongo[/HASHTAG] sana tena sana ,
 
Hakuna hali ya kudumu ndugu....Binadamu anamaudhi ila Mola ndo mtoa ridhiki liwe limelala au limesimama wote njia yetu moja tu....Dunian tunapita makao n kwa Mola
 
Jamani kuna baadhi ya wanaume wanakera sana naomba kabla ya kuumaliza siku ya leo naomba nitoe la moyoni,, utakuta mwanaume anaandika threads,sms au post za hivi ''unakataa kuolewa wakati ziwa limelala km ndala au anaandika umezalishwa mitoto mitatu alafu bado una ringa,,, hivi wewe mwanaume unae andika hivi una mama?? na km unae ulinyonya?? na km ulinyonya maziwa wa mama ako yakoje?? naomba kukuambia ukweli tu km wewe ni mwanaume mwenye tabia hii basi jua wewe ni taahira

Mungu awabariki.
Hivyo vitakua vivulana sio wanaume
 
Back
Top Bottom