Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,106
- 28,052
Hilo nalo nenoelimu
Hilo nalo nenoelimu
Nakupinga mkuu kwani mwanamke aliyezaa ukimuoa ana shida gani?Mwanaume kuoa single mother ni kujishushia hadhi, Mwanaume kuoa mwanamke ambaye amezalishwa ni kujishushia hadhi. Its the same principles.
Mwanaume aliyekamilika hawezi kuoa mwanamke ambaye amekwishazalishwa,
Mbona wengi wenu wazazi wenu walikuwa masikini lakini hamtaki kuolewa na masikini wenzenu?!!Na wengi wao wasemao hawataki single mother wenyewe tu wamelelewa na masingle mother vile vile
Same wine different bottle.Bila shaka hili ni ingizo jipya jf......your welcome blah blah nyingi sana
uko sawa hata me cpenda kumwambia mtu hvo ni vibaya sana ,mimi ni m1 wa watu ambao sipendi mwanamke azalilike kama nikikuta m/ke na m/ume wanalia ase m/ke ntaanza kumsaidia hata nikimkuta m/ume anamdhalilisha , kumuonea m/ke huwa natetea sana(sijisifii) , , , , , ,lakini na nyie mjibehave kdgo , hv unajua mwanaume ukihemshim yeye atakuheshim zaid (ingawa co wote), , mwishona nyie badiliken [HASHTAG]#waongo[/HASHTAG] sana tena sana ,Jamani kuna baadhi ya wanaume wanakera sana naomba kabla ya kuumaliza siku ya leo naomba nitoe la moyoni,, utakuta mwanaume anaandika threads,sms au post za hivi ''unakataa kuolewa wakati ziwa limelala km ndala au anaandika umezalishwa mitoto mitatu alafu bado una ringa,,, hivi wewe mwanaume unae andika hivi una mama?? na km unae ulinyonya?? na km ulinyonya maziwa wa mama ako yakoje?? naomba kukuambia ukweli tu km wewe ni mwanaume mwenye tabia hii basi jua wewe ni taahira
Mungu awabariki.
Matahira tuNa wengi wao wasemao hawataki single mother wenyewe tu wamelelewa na masingle mother vile vile
Hivyo vitakua vivulana sio wanaumeJamani kuna baadhi ya wanaume wanakera sana naomba kabla ya kuumaliza siku ya leo naomba nitoe la moyoni,, utakuta mwanaume anaandika threads,sms au post za hivi ''unakataa kuolewa wakati ziwa limelala km ndala au anaandika umezalishwa mitoto mitatu alafu bado una ringa,,, hivi wewe mwanaume unae andika hivi una mama?? na km unae ulinyonya?? na km ulinyonya maziwa wa mama ako yakoje?? naomba kukuambia ukweli tu km wewe ni mwanaume mwenye tabia hii basi jua wewe ni taahira
Mungu awabariki.
tena siku ukimjua huyo mwanaume anayeandika hizo thread waweza kimbia amekaukiana kiuno 10mweus Kama tako la Demiss
apiaaHaki ya I'd fake za Jf naapia![]()
![]()
![]()
apiaa