Tabia yako mbaya wala hujanitongoza!!

Tabia yako mbaya wala hujanitongoza!!

yaser

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2012
Posts
1,361
Reaction score
299
Wadada wa siku hizi bwana mi nashindwa hata kuwa-define, eti mdada nimemlaghai kaingia mpaka ndani ya 18 na baada ya ku-apply skills za kutosha mwenyewe akaamua kutoa mzigo. Mwisho baada ya mechi ananinunia eti tabia yangu mbaya sijamtongoza, kwani kutongoza kuna maana gani ikiwa nilichokitaka nilikipata au kwa kua sikumwambia "nakupenda" toka mwanzo wa mchakato mpaka unamalizika. hebu wakubwa zangu niwekeni sawa kwani maneno gani halisi ya kumwambia ili aweze kuachia "uwazi"?
 
daah! kwahiyo mkuu ulikamata tu mkono, ukagusa hapa na pale pasi mtu hoi na ikabidi akwambie malizia tu mwaya me zimesha panda!

ha ha ha! hujakosea mkuu hapo umemtongoza kwa vitendo sema tu ye anajistukia utamuona maji mara moja
 
+mwisho baada ya mechi amekununia+
+maneno gani ili aweze kuachia uwazi+
hapo mtoa mada una maana mechi gani? Na uwazi gani unautaka tena?
Au ndo hata haya ya ku-standadaizi huna matumaini nayo?
 
HAHAAAAAAAAAAA!

Binti hajakaribishwa Mujini kwenye mchezo wa sasa!

IN TOWN SEX STRICTLY REMAINS SEX AND LOVE REMAINS LOVE!!!!!!!! THE BOUNDARIES ARE BRIGHTER THAN YOUR FUTURE!!!!!!!!!!! You are highly warned NOT TO EXPECT MORE THAN WHAT YOU BARGAINED FOR IN THE DEAL!!!!!!!

A guy can shugg you for a whole year and will never say he loves you even with a pistol pointed at his brains! (THE WORD LOVE IS JST TOO VALUABLE FOR HIM!!!! TO SAY HE LOVES U IS LIKE SELLIN HIS SOUL)

:A S-coffee::A S-coffee::A S-coffee::A S-coffee::A S-coffee::A S-coffee:
 
Acha zinaa wewe,usione sifa utapata laana kwa mungu wako.
 
Ungefanya anavotaka chief ili apate ridhika,huenda ye kazoea hvo
 
+mwisho baada ya mechi amekununia+
+maneno gani ili aweze kuachia uwazi+
hapo mtoa mada una maana mechi gani? Na uwazi gani unautaka tena?
Au ndo hata haya ya ku-standadaizi huna matumaini nayo?

I like this
 
Wadada wa siku hizi bwana mi nashindwa hata kuwa-define, eti mdada nimemlaghai kaingia mpaka ndani ya 18 na baada ya ku-apply skills za kutosha mwenyewe akaamua kutoa mzigo. Mwisho baada ya mechi ananinunia eti tabia yangu mbaya sijamtongoza, kwani kutongoza kuna maana gani ikiwa nilichokitaka nilikipata au kwa kua sikumwambia "nakupenda" toka mwanzo wa mchakato mpaka unamalizika. hebu wakubwa zangu niwekeni sawa kwani maneno gani halisi ya kumwambia ili aweze kuachia "uwazi"?
Unaona sifa mwenyewe....Utakuja kufa wengine wameshajifia we jione mjanja kumbe wenzio kakuwai.inavyoelekea ww utakuwa sharobaro maana m2 mwenye busara zake hawezi kuhatarisha maisha yake kipumbavu
 
Back
Top Bottom