Tabia ya Mwanamke asiyewasjibika Kitandani

Tabia ya Mwanamke asiyewasjibika Kitandani

Hapo namba 3 inahusika. Sasa wewe ukahesabu chupa bar zote uje utoke huko na uvundo wako wa bia saa sita usiku halafu ukirimiwe? Na shamba alikuandalia nani? Bora lawama kuliko fedheha aisee.
 
na kwanini wasilale pamoja amsumbue mwenzake akishalala amuamshe?je akiwa kalala yeye akiamshwa atatoa malavidavi?

Sidhani kama kuna usumbufu wowote kwa mume au mke kuhamshana na ku..............
tena yafaa kuwajibika mpaka kutimia HAZMA

Akihitaji na kukuhamsha anakusumbua! akitoka nje, HARIDHIKI!!
 
SMILE hata akiachwa kwa mwaka mzima hutasikia baba mapolomoko geukia huku, inakuwa ya baba paroko naleta mashitaka kwako visigino na vipepsi kwasana.wanaume tunashidasana. aukwakuwa tunaoa ambao wameshatumika kwa sana wanakuwa walisha choka

mtajibeba. kwani na nyie si mnakua mmeshatumika pia?
 
vipi ile unaambiwa utapata asubuhi, au unakatiza usingizi wangu...
 
Mh! Wanaume hata mfanyiwe nini hamkubali ni lazima mkaonje huko nje, sasa sijui huwa mnakuta utamu tofauti au ni vipi.... Yakiwakuta makubwa mnarudi hoi kwa wake zenu....

Kwa kweli usiwaze mambo mabaya kwa mumeo mfanyie mema... na ninakuhakikishia mwanaume akipata manjonjo ya nguvu kutoka kwa mkewe kasi ya kurukaruka nje inapungua yaani wastani wa 65% wanakosa manjonjo nyumbani hatimaye nje kunawachanganya... wewe uwe mongoni mwa wanawake wanaoridhisha kwa mumeo

 
vipi ile unaambiwa utapata asubuhi, au unakatiza usingizi wangu...

................Hao wote wanangia katika kundi la wanaokwaza ndoa.. lakini kama asubuhi atachangamka na kuridhshana sio mbaya................
 
senkyu vere machi for such a point.wanawake wamezidi kuonewa kila kitu wao tu.
Ni kweli to some extent ingawa wanaume nao wana matatizo yao maana utakuta mwanamke anafanya yote anayotaka mmewe but bado lijianaume linatoka nje ya ndoa bila hata aibu. Foolish
 
SMILE hata akiachwa kwa mwaka mzima hutasikia baba mapolomoko geukia huku, inakuwa ya baba paroko naleta mashitaka kwako visigino na vipepsi kwasana.wanaume tunashidasana. aukwakuwa tunaoa ambao wameshatumika kwa sana wanakuwa walisha choka

Mapolomoko.... katika hilo umenena mkuu......... huwasikii wakisifia au kutoa maelekezo ni sehemu gani katka mwili wake ikiguswa anasisimka.....
 
Back
Top Bottom