Tabia ya Mwanamke asiyewasjibika Kitandani

Tabia ya Mwanamke asiyewasjibika Kitandani

utafiti wako utawagusa wengi na bila shaka wanaweza kurekebisha maana mapenzi hayatakiwi kuchukuliwa kama mazoea na kupelekea kufanyika chini ya kiwango.
 
wa kujuzwa wimbo unahusu nn,maana ukinipa bundle hukawii kunidai teh teh teh


Mi nikukupa kitu, nimekupa Asnam sijui kudai, ulishasikia namdai mtu?
 
Last edited by a moderator:
Mi nikukupa kitu, nimekupa Asnam sijui kudai, ulishasikia namdai mtu?

PM zingekuwa zinaanikwa hadharani yawezekana usingekosa kwenye orodha teh teh kama hudai keep it up naona utakuwa kundi moja na Mtambuzi amegeuka simba anachezewa sharubu lakini hana meno
 
Last edited by a moderator:
PM zingekuwa zinaanikwa hadharani yawezekana usingekosa kwenye orodha teh teh kama hudai keep it up naona utakuwa kundi moja na Mtambuzi amegeuka simba anachezewa sharubu lakini hana meno

Video ni ya "Pop That" (explicit version, usiangalie na watoto).....muulize BAK ina maana gani mi simo

halafu apo bold, nikupemo password? Ila kunidhania mi ni sawa na Mtambuzi, hapo kuwa makini kidogo:A S shade:
 
Last edited by a moderator:
Mh! Wanaume hata mfanyiwe nini hamkubali ni lazima mkaonje huko nje, sasa sijui huwa mnakuta utamu tofauti au ni vipi.... Yakiwakuta makubwa mnarudi hoi kwa wake zenu....

muonekano wa papuchi wwnuewe unatofautiana so ata utamu unatofautiana....
 
na kwanini wasilale pamoja amsumbue mwenzake akishalala amuamshe?je akiwa kalala yeye akiamshwa atatoa malavidavi?
 
Inasemekana wanawake wengi wenye ndoa wanakuwa na tabia zifuatazo zinazosababisha waume zao kwenda nje ya ndoa na wale wasio na tabia ya nyumba ndogo wanaishia kubakwa na waume zao

  1. Mwanamke asiyemtamkia kabisa mumewe kuwa anajisikia kuwa naye.
  2. Mwanamke ambaye baada ya mechi huwa haonyeshi dalili yoyote kama ameridhika na tendo au hakuridhika
  3. Mwanamke ambaye akiwahi kulala yeye mume akija hataki kuguswa
  4. Mwanamke ambaye mumewe akimgusa anakubali huku analalamika .. kama ulikuwa unataka kwa nini hukuwahi kulala unangoja nilale ndo unakuja kunisumbua..
  5. Mwanamke huyo hatingishiki kwenye mechi kata kidogo tena amenuna... anangalia kushoto au kulia anangoja goli liingie ... kama golikipa aliyekata tamaa ya kudaka penati......
  6. Mwanamke haweki kabisa maandalizi kama zana za kufanyia usafi baada ya mechi kama taulo, kitambaa nk
  7. Ziko nyingine nyingi ambazo ni kero zinazowafanya wanaume kusononeka....na mara nyingine juamua kuzira na kuwa mwanzo wa mmoja kuhama chumba..... Wanawake wenye tabia hizi jirekebisheni

mkuu umegonga mahali pake,kumbe wapo wengi wenye matatizo hayo
 
mpeane space jamani? kila siku unataka hata humuachi mtu kuwa na njaa?
asubuhi..usiku mara 3 bado kazi na stress za dunia hiyo hamu ataitoa wapi?.......mpe likizo mkuu atarudi na appetite hadi mwenyewe utakimbia
ndoa ngumu lakini...sijui kama nitaweza
he he he! Smile umekaa!!still waiting kuona uso!
 
Last edited by a moderator:
Inasemekana wanawake wengi wenye ndoa wanakuwa na tabia zifuatazo zinazosababisha waume zao kwenda nje ya ndoa na wale wasio na tabia ya nyumba ndogo wanaishia kubakwa na waume zao

  1. Mwanamke asiyemtamkia kabisa mumewe kuwa anajisikia kuwa naye.
  2. Mwanamke ambaye baada ya mechi huwa haonyeshi dalili yoyote kama ameridhika na tendo au hakuridhika
  3. Mwanamke ambaye akiwahi kulala yeye mume akija hataki kuguswa
  4. Mwanamke ambaye mumewe akimgusa anakubali huku analalamika .. kama ulikuwa unataka kwa nini hukuwahi kulala unangoja nilale ndo unakuja kunisumbua..
  5. Mwanamke huyo hatingishiki kwenye mechi kata kidogo tena amenuna... anangalia kushoto au kulia anangoja goli liingie ... kama golikipa aliyekata tamaa ya kudaka penati......
  6. Mwanamke haweki kabisa maandalizi kama zana za kufanyia usafi baada ya mechi kama taulo, kitambaa nk
  7. Ziko nyingine nyingi ambazo ni kero zinazowafanya wanaume kusononeka....na mara nyingine juamua kuzira na kuwa mwanzo wa mmoja kuhama chumba..... Wanawake wenye tabia hizi jirekebisheni


Inasemekanaaa . .
Tuwekee na sababu basi.
 
Back
Top Bottom