Baadhi ya solutions unazoweza kutumia!
1.
Greenify
2. Zima Auto-Sync. (Kwenye settings)
3. Ikiwa umuweka tick kwenye option ya ku-back up data kwenda Google servers (kwenye Settings), usitafute mchawi nani!
4. Baadhi ya apps kila baada ya sekunde kadhaa zinatuma request online kwa ajili ya matangazo/ads, tracking, analytics, crash reports, etc.
Kama hutumii
Adguard /
DNS66 /
Blokada /
AdAway /
NetGuard, bando & betri ya simu yako zita-suffer!
5. Zima & usithubutu kuwasha GPS, unless ikilazimika kufanya hivyo.
6. Washa Wi-Fi & Bluetooth pale tu itakapohitajika
7. Punguza mwangaza/brighteness kuwa wa kiasi. Usiweke "Auto"!
8. Ikiwa uko maeneo ambayo 3G/4G haishiki vizuri, weka 2G kiroho safi.
Kama pia 2G haishiki weka "Airplane Mode".
9. Vibrations nazo haziko mbali kwenye kula Charge. Turn 'em off!
10. Ikiwa simu yako ina apps ambazo huzitumii mara kwa mara / huna kazi nazo basi zifute au zi-Disable/Freeze kama inawezekana.
Kama umeipenda basi bofya/Gonga "like".