BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,163
Hali mbayaIle vanguard umeuza?
Mwendo wa tz 11
Lazima vituo vya mafuta viisome namba
Hali mbayaIle vanguard umeuza?
Kukosa kwenu magari au kuwa mafukara ndio mumshushie mdau matusi?
Tabia ya kuegemea magari ya watu si nzuri. Kuna ulazima gani wa wewe na hayo makalio yako yaliyokuzidi uzito kiasi unatafuta pa kujisapoti kwenda mjini?
Nendeni mkaegemee yale ya zimamoto, yale ndio ya wote.
Hali mbaya
Mwendo wa tz 11
Lazima vituo vya mafuta viisome namba
Umeelewa hoja kweli?Kizuri tumia na wenzio!!!. usimdharau asiyenacho kama hutaki kumsaidia si mwambie siendi nyumbani nina kazi za kiofisi zinaendelea...................
Aisee.....Ukijifanya una roho nzuri eti watu wataniona mbaya, utaishia kupata hasara mpaka ukome!
Mi mchana leo wa saa saba lunch time, nimeenda napopaki ( mwendo wa dk 3 na ofisini)
Huwa mda huo naenda kujilaza garini, wale waoshaji ni (wadada wafanya usafi hiyo sehemu) basi wamejaa kwenye boneti, matambara na ndoo zao za kuoshea Magari vyote wamevipandisha juu ya boneti la gari yangu, wanasubiri kula vichwa!
Nimeishia kuwaangalia tuu maana siwezi maneno na wanawake nna hasira mnoo!
Binafsi sipendi mtu asiyeheshimu kitu cha mwenzake!
HahahahaInategemea na gari.....sasa kama unayo passo na wewe utalalamika kweli au unatania
Utaambiwa unaringaWewe lazima umeishi kulee....bongo hamna ustaarabu huo. Nilipata shida sana siku za mwanzo,foleni benki mtu anakukaribia hadi anakugusa unabaki unamuangalia hata msg hapati....watu hawaheshimu mali ya mtu na unaweza kusoma hata michango yao ya dharau kwa aina fulani ya gari. Kama vits,passo ni yake usiegemee heshimu mali yake.
Tehe tehe tehe litakuwa gari jipya tuHii tabia ya kuegemea magari ya watu hovyo hovyo tu ipo sana hasa hasa jijini Dar Ee Salaam. Umepaki gari lako, salama bin salmin kutoka na kurudi unakuta Jitu limeegemea garil lako, tena kwenye taa, halijui hata bei ya taa wala rangi. Hii tabia ni kero sana naomba ikomeshwe.
Unauliza swali?Umeelewa hoja kweli?
Ahaha hongera kwa kununua gari mheshimiwa.Hii tabia ya kuegemea magari ya watu hovyo hovyo tu ipo sana hasa hasa jijini Dar Ee Salaam. Umepaki gari lako, salama bin salmin kutoka na kurudi unakuta Jitu limeegemea garil lako, tena kwenye taa, halijui hata bei ya taa wala rangi. Hii tabia ni kero sana naomba ikomeshwe.
Bora hao ni watoto. Kwangu sina mtoto mdogo na kazini wote ni watu wazima lakini wamelikwangua kwangua gari hadi huruma. Wakiegemea wanaongea sijui mikononi huwa wameshika nini wanakwaruza weee rangi yenyewe nyeusi huruma tupu. Sio tabia nzuri kusema ukweli.Kuna watoto nilikuta wamefanya gari langu ubao wa shule.....wamekwangua 1+1=2, 2+2=4......
Hawajawahi kumiliki hata baiskeli hawajielewi. Ni uharibifu wa kijinga kuegemea egemea magari ya watu na kuharibu rangi.Hawa watoa povu hawajui madhira tunayopata wao wanadhan gari ni kama ndoo ya kuchotea maji
Haaaa haaaa nimechekaUkijifanya una roho nzuri eti watu wataniona mbaya, utaishia kupata hasara mpaka ukome!
Mi mchana leo wa saa saba lunch time, nimeenda napopaki ( mwendo wa dk 3 na ofisini)
Huwa mda huo naenda kujilaza garini, wale waoshaji ni (wadada wafanya usafi hiyo sehemu) basi wamejaa kwenye boneti, matambara na ndoo zao za kuoshea Magari vyote wamevipandisha juu ya boneti la gari yangu, wanasubiri kula vichwa!
Nimeishia kuwaangalia tuu maana siwezi maneno na wanawake nna hasira mnoo!
Binafsi sipendi mtu asiyeheshimu kitu cha mwenzake!
Ukijifanya una roho nzuri eti watu wataniona mbaya, utaishia kupata hasara mpaka ukome!
Mi mchana leo wa saa saba lunch time, nimeenda napopaki ( mwendo wa dk 3 na ofisini)
Huwa mda huo naenda kujilaza garini, wale waoshaji ni (wadada wafanya usafi hiyo sehemu) basi wamejaa kwenye boneti, matambara na ndoo zao za kuoshea Magari vyote wamevipandisha juu ya boneti la gari yangu, wanasubiri kula vichwa!
Nimeishia kuwaangalia tuu maana siwezi maneno na wanawake nna hasira mnoo!
Binafsi sipendi mtu asiyeheshimu kitu cha mwenzake!