Tabia ya kuegemea magari ya watu

Tabia ya kuegemea magari ya watu

Tusio na magari tunakomaje? Nawaomba tuwavumilie wenye magari na vichambo na manyanyaso. Usishangae ukiwekewa tambara chini usichafue kapeti la gari, au kufungiwa mlango (ukifunga wewe utaharibu!!!). Usifungue vioo na Ac hawashi. achilia mbali yale maangalizo unayopewa utasikia... huko nyuma kuna laptop ... Gari hii sasa hivi Yadi ni Shilingi Milioni..... ukiagiza nje ni Shiling.... Mafuta ya kuweka shilingi elfu ishirini ishirini yanaharibu pampu... hata kama hujauliza. ole wako usimsifie utaisoma ya JPM.

Mada ya mwenye gari ni mada kuuu usianzishe mada na hata kuchangia kuwa mwangalifu hasa kama mwenye gari yuko na wife/mchepuko utasikia ile saiti ... viza inasumbua sana... exchange rate leo ilikuwa balaa. hivi zile milion tisa alilipa?
NDO SWAGA ZAO.

Kudadeki nimeanza kuweka akiba ya kununulia namimi gari kila mwezi naweka Sh 65,000/- ni mwezi wa tisa sasa. Hivi gari bei gani?

WENYE MAGARI BIG RESPECT KWENU LAKINI MUNGU ANAWAONA !!!!!!
Haaaa haaaa haaaa ....mkuu nimebaki nakuonea huruma tuu...

Sio kwa kilio hiki
 
Skuizi nimemis lugha za makondakta wa Dar" toa gari ya mkopo hiyo"

Yani nikikuta mtu kaegemea li PASSO langu namtengua
 
Hii tabia ya kuegemea magari ya watu hovyo hovyo tu ipo sana hasa hasa jijini Dar ee Salaam. Umepaki gari lako, salama bin salmin kutoka na kurudi unakuta Jitu limeegemea garil lako, tena kwenye taa, halijui hata bei ya taa wala rangi.

Hii tabia ni kero sana naomba ikomeshwe.
Gari za siku hizi bodi zake nyanya Sana... Ukitaka usiumie nunua pijo 504 hata juu ya bonet utakaa... Passo akiegemea mlango unaweza hata kugoma kufunguka
 
Kuna 'kamentality' fulani wanako 'mafukara' (ufukara ni mindset) kwamba shida zao zinaletwa na mwenye nacho. Watu wa namna hii ndio wenye kushangilia 'fulani akinyang'anywa mshahara' na ndio hao hao wanaosema 'vitz na paso za mkopo blah blah blah'.

Tujifunze kuwa wawajibikaji. Utaegemea vipi gari ya mtu? Kama ulidhani la mkopo anakopeshwa hata mbuzi, na wewe kakope lako uegemee. Sometimes unakuta yako matatu manne, yameegemea gari yanagonga stori as if yamekalilia gogo la mnazi kwenye uwanja wa michezo wa shule ya msingi. Halafu hata kumsoma mtu usoni hayajui...kama yameokotwa sehemu porini yakaletwa mjini kwa bahati mbaya vile...%x$u&fc*k
 
Hii tabia ya kuegemea magari ya watu hovyo hovyo tu ipo sana hasa hasa jijini Dar ee Salaam. Umepaki gari lako, salama bin salmin kutoka na kurudi unakuta Jitu limeegemea garil lako, tena kwenye taa, halijui hata bei ya taa wala rangi.

Hii tabia ni kero sana naomba ikomeshwe.
Paki hewani
 
Ulimbukeni unamsumbua, atazoea tu, si kazi gari lenyewe la shemeji.
 
Huyu atakuwa mhaya tu lazima. Kwa hicho ki vits cha kudhulum marejesho finca?
 
Hao watakuwa ni wale wezi wa magari..kwa nini wasiende kuegemea nguzo za umeme? Next time ukiona wameegemea gari lako call 911
 
Hii tabia ya kuegemea magari ya watu hovyo hovyo tu ipo sana hasa hasa jijini Dar ee Salaam. Umepaki gari lako, salama bin salmin kutoka na kurudi unakuta Jitu limeegemea garil lako, tena kwenye taa, halijui hata bei ya taa wala rangi.

Hii tabia ni kero sana naomba ikomeshwe.
Magari ya Mikopo Haya... yanatia Watu Uchizi
 
Hii tabia ya kuegemea magari ya watu hovyo hovyo tu ipo sana hasa hasa jijini Dar ee Salaam. Umepaki gari lako, salama bin salmin kutoka na kurudi unakuta Jitu limeegemea garil lako, tena kwenye taa, halijui hata bei ya taa wala rangi.

Hii tabia ni kero sana naomba ikomeshwe.
Kama haibi chochote tambua ni Mlinzi namba mbili wa gari lako baada ya Lock ya milango.
 
Hii tabia ya kuegemea magari ya watu hovyo hovyo tu ipo sana hasa hasa jijini Dar ee Salaam. Umepaki gari lako, salama bin salmin kutoka na kurudi unakuta Jitu limeegemea garil lako, tena kwenye taa, halijui hata bei ya taa wala rangi.

Hii tabia ni kero sana naomba ikomeshwe.
Kwani tumekwangua Na kuvunja taa ??? Ukishuka ingia nalo ndani
 
Back
Top Bottom