iamwangdamin
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 1,176
- 2,054
watu washaanza kutetea magari yao ya mkopo kwakuwa sasa benki zinadai na zinafilisi , unanyima hata watu wasiegemee ndinga yako,
umenikumbusha marehem dingihuyyu hate home inaonekana bado yuko miaka 25 iliyopita au 30 enzi za baba kufungia TV kabatini [ wengi Tv walikuwa wanazionea kwa jirani ...],,,,alafu ikaja TV kuwa sitting room lakini kwenye grill la chuma kama bar,alafu ikaja tv kuwa kwenye kabati la mbao linafunguliwa wazee wakirudi ..
Ikaja enzi sasa ya kati kati kabla hajaingia mkapa ...mwinyi anakaribia kutoka TV inakuwa sitting lakini imefunikwa na Kitambaa cha kufumwa na mama , .....ikaja sasa TV angalau zinakua mbili nyumbani .......sasa nyumba nyingi middle class kila room ina TV FLAT ..
Genesisi
hahahaah
Wasamehe Mkuu
Nilishawafuma watoto wa kike wakipiga picha kwenye Gari langu
Lakini Pia nilishawafuma Vijana wakichukua masefie ktk Chombo yangu
Ndiyo Maisha yetu Ndugu, Tuvumiliane.
Inategemea na gari.....sasa kama unayo passo na wewe utalalamika kweli au unataniaHii tabia ya kuegemea magari ya watu hovyo hovyo tu ipo sana hasa hasa jijini Dar Ee Salaam. Umepaki gari lako, salama bin salmin kutoka na kurudi unakuta Jitu limeegemea garil lako, tena kwenye taa, halijui hata bei ya taa wala rangi. Hii tabia ni kero sana naomba ikomeshwe.
ahahahhahaha...teh hee hee.,ukirudi home ingia nalo chumbani!
.utazoea lakini
Wewe lazima umeishi kulee....bongo hamna ustaarabu huo. Nilipata shida sana siku za mwanzo,foleni benki mtu anakukaribia hadi anakugusa unabaki unamuangalia hata msg hapati....watu hawaheshimu mali ya mtu na unaweza kusoma hata michango yao ya dharau kwa aina fulani ya gari. Kama vits,passo ni yake usiegemee heshimu mali yake.Tabia mbaya ni tabia mbaya. Haijalishi kama ni vits ya kwanza ya mkopo ambayo haijafikisha mwezi au la. Heshimu mali ya mtu huna haki ya kumpangia.
And while we are on the subject respect my personal space too. If you are behind me in a queue back up a little, I don't need to hear you breathing.
Kuna watoto nilikuta wamefanya gari langu ubao wa shule.....wamekwangua 1+1=2, 2+2=4......Wamenikwangulia rangi sana sana na sarawili za jeans, zipu wakigeuka zinakwangua rangi. Ni tabia mbaya sana kusema ukweli japo watu wanaona mwenye gari anajidai. Niliwahi kukuta wamelia hapo chips na soda gari wameigeuza meza.....
watu washaanza kutetea magari yao ya mkopo kwakuwa sasa benki zinadai na zinafilisi , unanyima hata watu wasiegemee ndinga yako,
huyyu hate home inaonekana bado yuko miaka 25 iliyopita au 30 enzi za baba kufungia TV kabatini [ wengi Tv walikuwa wanazionea kwa jirani ...],,,,alafu ikaja TV kuwa sitting room lakini kwenye grill la chuma kama bar,alafu ikaja tv kuwa kwenye kabati la mbao linafunguliwa wazee wakirudi ..
Ikaja enzi sasa ya kati kati kabla hajaingia mkapa ...mwinyi anakaribia kutoka TV inakuwa sitting lakini imefunikwa na Kitambaa cha kufumwa na mama , .....ikaja sasa TV angalau zinakua mbili nyumbani .......sasa nyumba nyingi middle class kila room ina TV FLAT ..
Genesisi
nimecheka hadi kichwa kinauma!Inategemea na gari.....sasa kama unayo passo na wewe utalalamika kweli au unatania
Hahahaha....."hata msg hapati" mwingine anajikata kucha kwenye public transport,ilibidi nishukie njiani kwanzaWewe lazima umeishi kulee....bongo hamna ustaarabu huo. Nilipata shida sana siku za mwanzo,foleni benki mtu anakukaribia hadi anakugusa unabaki unamuangalia hata msg hapati....watu hawaheshimu mali ya mtu na unaweza kusoma hata michango yao ya dharau kwa aina fulani ya gari. Kama vits,passo ni yake usiegemee heshimu mali yake.
Kuna namna mtu akikuangalia unapata msg.....sasa wengine hawajui hio na ukimwabia tu ugomvi!Hahahaha....."hata msg hapati" mwingine anajikata kucha kwenye public transport,ilibidi nishukie njiani kwanza
Kumbuka pia uongo ni Mbaya...Watu mnaotoa povu wengi wenu hamjua kero ya hii tabia ya mtu kakaa mahala kaweka limwil lake kwenye bonet ya gari. Hii tabia hata mimi inanikera sana kwanza nimeshanyoosha bonet kama mara 5 hivi mtu anakaa gar zenyewe zina bodi nyepes yye analala hapo. Kwakwel mm nikimkuta lazima nimpe kubwa
Hii mara ya mwisho hata wiki mbili haijapita kwenye fastjet, mtu katoa nail cutter kabisa mfukoni, sijui kaipitishaje. Nasikia clipping sound kutazama mtu na heshima zake hana habari.Hahahaha....."hata msg hapati" mwingine anajikata kucha kwenye public transport,ilibidi nishukie njiani kwanza