Wanakwangua rangi, kwa kujua au kutokujua. Ni uharibifu.kwani akiiegemea hiyo gari kuna hasara yoyote unayoipata ????? au anaichubua rangi????? kwa usawa huu wa magu hujui ya kesho ikeme hiyo roho ikutoke
Unaabudu magari, umaskini huo.Hii tabia ya kuegemea magari ya watu hovyohovyo tu Ipo sana hasahasa jijini dar Ee salaam , umepaki gari lako, salama bin salmin ,kutoka na kurudi unakuta Jitu limeegemea garil lako, tena kwenye taa, halijui ata bei ya taa wala rangi. Hii tabia ni kero sana naomba ikomeshwe.
Waliokopa magari utawajua tu kwa matendo yaoHii tabia ya kuegemea magari ya watu hovyo hovyo tu ipo sana hasa hasa jijini Dar Ee Salaam. Umepaki gari lako, salama bin salmin kutoka na kurudi unakuta Jitu limeegemea garil lako, tena kwenye taa, halijui hata bei ya taa wala rangi. Hii tabia ni kero sana naomba ikomeshwe.
Jamaa anaoneka ni mchoyo mbinafsi hata chakula huwa analia uvungunibila shaka ndo gari yako ya kwanza kununua wamekuskia mkuu

Kukwangua hiyo ni habari nyingine ila kuegemea haina shidaHahaha dah unakuta jamaa na kisoda ana kwangua rangi. Noma sana.
mimi nina kastarlet kangu namba A kwakweli sijawahi kumkuta mtu ameegemea hata siku mojaHii tabia ya kuegemea magari ya watu hovyo hovyo tu ipo sana hasa hasa jijini Dar Ee Salaam. Umepaki gari lako, salama bin salmin kutoka na kurudi unakuta Jitu limeegemea garil lako, tena kwenye taa, halijui hata bei ya taa wala rangi. Hii tabia ni kero sana naomba ikomeshwe.
Nadhani umejichanga umenunua ki ist sasa ndo umekuja mbio mbio kufungua thread hapa
Kwa taarifa yako Mimi na waegemeaji wenzangu tutaendelea kuegemea magari yenu maana mnatuchafulia hewa yetu.
[HASHTAG]#teamkuegemea[/HASHTAG] magari#![]()
![]()
![]()

DuuuhHiyo lazima ni Vitz.
Vogue na magari mengine ya gharama huwa hayaegemewi hovyo.
Kweli kabisa, watu wanaegemea magari simple tu, yale yenye mzigo mrefu mtu lazima aogopeHiyo lazima ni Vitz.
Vogue na magari mengine ya gharama huwa hayaegemewi hovyo.
acha roho mbaya unaonekana hata lift hutoiHii tabia ya kuegemea magari ya watu hovyo hovyo tu ipo sana hasa hasa jijini Dar Ee Salaam. Umepaki gari lako, salama bin salmin kutoka na kurudi unakuta Jitu limeegemea garil lako, tena kwenye taa, halijui hata bei ya taa wala rangi. Hii tabia ni kero sana naomba ikomeshwe.
Ndiyo nyumbani kwenu sasa no way out you have to accept it!!Sina ugeni wowote, lakini ni tabia ya watu wasiona upeo na hii inadhihirishwa na wachangiaji wengi, nimekaa nchi kibao Huu upuuzi ni hapa dar tu ndio naona umeshamiri.
Sasa siuende kwa fundi kurekebisha hako kamchubuko tu.Naunga mkono hoja. Wengine anapark karibu yako halafu anafungua mlango wake kwa nguvu na kukuachia alama. Halafu anaendelea na shughuli zake kana kwamba hamna kilichotokea, hana habari.
Kuegemea tu gari unalialia hvyo sasa ukipigwa pasi si utapiga mayowe mjini. Kweli siku hz watu wanathamini vitu kuliko mtuHii tabia ya kuegemea magari ya watu hovyo hovyo tu ipo sana hasa hasa jijini Dar Ee Salaam. Umepaki gari lako, salama bin salmin kutoka na kurudi unakuta Jitu limeegemea garil lako, tena kwenye taa, halijui hata bei ya taa wala rangi. Hii tabia ni kero sana naomba ikomeshwe.