Tabia ya kuegemea magari ya watu

Tabia ya kuegemea magari ya watu

Teh halafu na nyie mnao niomba lift na baiskeli yangu wakati napanda mlima sio ishu
 
Hivi kuegemea gari tu kunabadilisha thamani au quality ya gari, labda kama umemkuta mtu anajaribu kutoa kitu kilichopo kwenye gari lako hapo ndo ishu otherwise ni vitu vya kawaida.
 
Mtoa mada vaa helmet! Watu hawana tabia ya kuheshimu kitu cha mwingine. Kuegemea ni jambo la kawaida sana unaweza kuja unakuta muuza mahindi,mayai,maji etc kaweka karai lake juu ya bonnet anafanyabiashara. Ndio bongo yetu hio inabidi uzoee tu.
 
Kwanza, huyu ni from BK na pili, ndiyo wale akikuta dimbwi la maji machafu anapark gari anavua viatu na kupita kwny hilo dimbwi la maji taka viatu mkononi na gari ng'ambo ya pili
 
Nina uhakika hill gari halina miezi sita tokea umenunua, nakumbuka hata mimi nilikuwa nikinunuliwa viatu vipya vya shule nilipandanavyo kitandani.
 
mwanzoni ndo inavyokuwa mkuu ila baada ya muda utazoea
 
Kama taa ya gari yako ni mbovu badilisha tu maana hakuna gari inayoweza kupasuka taa kwa kuegemewa na mtu.
 
Hahahaa...Huyu Jamaa itakuwa gari yake ya kwanza kumiliki na bado hajaiona kawaida, Kuna mwingine alikuwa anakataza watu wasifunge mlango kwa nguvu watalegeza mlango gari yenyewe ni used kutoka japan.

Ila kwa upande mwingine, Tunatakiwa pia kuwa makini na watu wanaogemea magari yetu, unaweza kumuona mtu anaegemea ukadharau kumbe anafungua taa au unabandua nembo.
 
Hii tabia ya kuegemea magari ya watu hovyohovyo tu Ipo sana hasahasa jijini dar Ee salaam , umepaki gari lako, salama bin salmin ,kutoka na kurudi unakuta Jitu limeegemea garil lako, tena kwenye taa, halijui ata bei ya taa wala rangi. Hii tabia ni kero sana naomba ikomeshwe.
shida nini kwani, acha kuthamini mali kuliko utu, inaonekana wewe hata jirani zako unawapa tabu sana, too much selfish, mi sioni tatizo mtu kuegemea gari, hapa Dar watu wanaacha magari yao sehemu kibao, watu wanapigana pasi za kutosha na bado mtu ha mind, anakuacha tu uende, labda kama una kaugeni fulani hv.
 
Mimi mkangafu wangu nilioachiwa na babu yangu Landrover 109 miaka ile hata ukiugemea hakuna noma kabisa
 
Hii tabia ya kuegemea magari ya watu hovyohovyo tu Ipo sana hasahasa jijini dar Ee salaam , umepaki gari lako, salama bin salmin ,kutoka na kurudi unakuta Jitu limeegemea garil lako, tena kwenye taa, halijui ata bei ya taa wala rangi. Hii tabia ni kero sana naomba ikomeshwe.
umenunu jana???????????????
 
Hii tabia ya kuegemea magari ya watu hovyohovyo tu Ipo sana hasahasa jijini dar Ee salaam , umepaki gari lako, salama bin salmin ,kutoka na kurudi unakuta Jitu limeegemea garil lako, tena kwenye taa, halijui ata bei ya taa wala rangi. Hii tabia ni kero sana naomba ikomeshwe.
Mkuu kwani huyo binadamu mwenzako anayeegemea hilo gari lako na hilo gari lako lenyewe ni kipi chenye thamani zaidi kwako?
 
shida nini kwani, acha kuthamini mali kuliko utu, inaonekana wewe hata jirani zako unawapa tabu sana, too much selfish, mi sioni tatizo mtu kuegemea gari, hapa Dar watu wanaacha magari yao sehemu kibao, watu wanapigana pasi za kutosha na bado mtu ha mind, anakuacha tu uende, labda kama una kaugeni fulani hv.
Sina ugeni wowote, lakini ni tabia ya watu wasiona upeo na hii inadhihirishwa na wachangiaji wengi, nimekaa nchi kibao Huu upuuzi ni hapa dar tu ndio naona umeshamiri.
 
Hahaha umenikumbusha kuna jamaa yangu alikuwa na kispacio hakina hata mwezi tukamkuta jamaa mmoja anaongea na simu nafikiri ni kisukuma kama sikosei kaegemea tena maeneo ya taa.

Jamaa alimkoromea (unajua ndugu tunaweza kutia hasara na iwe tatizo kwenye kulipana hasara huwa mnazitaka nyinyi wenyewe kamaliza na sjui watanzania tunakuwaje) kustukia vx v8 mbele yetu jeusi kama la Magufuli linamweka indicator zake jamaa akastopisha simu na kumjibu jamaa (taa zangu zote 4 ni bei ya gari lako siwezi kushidwa kulipia hiyo taa ya powertila yako), huku akiende kwenye v8.

Duu bahati nzuri hatukuwa na demu kwani ilikuwa aibu ya mwaka. Tulipofika home nilicheka sana kweli ustikukane usiemjua
 
Hii tabia ya kuegemea magari ya watu hovyohovyo tu Ipo sana hasahasa jijini dar Ee salaam , umepaki gari lako, salama bin salmin ,kutoka na kurudi unakuta Jitu limeegemea garil lako, tena kwenye taa, halijui ata bei ya taa wala rangi. Hii tabia ni kero sana naomba ikomeshwe.
...umeanza lini kumiliki gari...labda tuanzie hapo
 
Back
Top Bottom