Tabia ya kudaiana vitu baada ya kuachana

Tabia ya kudaiana vitu baada ya kuachana

Mkuu naona umekuja kututukana huku

Yaani wasukuma tulivowapole hivo
Hayujui makuu

Tukimdondokea moyo yaani acha tu atafaidi mpaka basi


Huwa tunadai mahali tu kwa sababu ni za jamii lakini kuhonga akaa sisi siyo wachaga hahahah


Tumekutana na case za wanaume wa Kisukuma kama wanne hivi yaani wanamdai demu mpaka vocha ya jero labda kwa vile jamaa hawakula mzigo hahahaaa
 
I wish you could be my girlfriend japo Mimi nikimpa mtu kitu ni kwa sababu ni vyema kufanya hivyo
 
Sijawahi kuambiwa nilete vitu na boyfriend ila nilimrudishia vitu vyake baada ya kugundua yupo na mtu naanakuja kwangu kuanza mahusiano mapya.
 
Utakuwa mbahili Sana Wewe cyo bure [emoji23]
Hapana nafanya nachoweza n.a. kwa roho safi siwezi mdai mtu baada ya kuachana kama tu baadh ya madeni naona tabu kumdai mtu iweje kwa tuliyeachana
 
Hapana nafanya nachoweza n.a. kwa roho safi siwezi mdai mtu baada ya kuachana kama tu baadh ya madeni naona tabu kumdai mtu iweje kwa tuliyeachana
Ubak ivo ivo jamaniiii

Kuna jiran yangu kafukuza mke kamnyang'anya kila kitu mpk mtoto wa miez 2,kamwambia aondoke kama alivyokuja

Nilicheka Sana cku iyo, mke kasepa na beg tu vingine alivyonunuliwa na mume kaacha
Cpendi haya mambo kabisaaa
 
Ubak ivo ivo jamaniiii

Kuna jiran yangu kafukuza mke kamnyang'anya kila kitu mpk mtoto wa miez 2,kamwambia aondoke kama alivyokuja

Nilicheka Sana cku iyo, mke kasepa na beg tu vingine alivyonunuliwa na mume kaacha
Cpendi haya mambo kabisaaa
Uyo jamaa mbinafsi
 
Hata wanawake nao wanataka vit vyao virud

Na usiporudisha Utasimangwa utalia kama paka shoga
 
Hata wanawake nao wanataka vit vyao virud

Na usiporudisha Utasimangwa utalia kama paka shoga
Sugar mamy huwa wanadai kwakwel, marioo watakuwa wanajua paka shoga analiaje, mm hii nimeickia kwako hii mweh [emoji23]
 
Sugar mamy huwa wanadai kwakwel, marioo watakuwa wanajua paka shoga analiaje, mm hii nimeickia kwako hii mweh [emoji23]
[emoji23][emoji23].........Subiri Usiku wa manane Usikie Wanavolia...[emoji125]
 
Back
Top Bottom