Tabia ya kudaiana vitu baada ya kuachana

Tabia ya kudaiana vitu baada ya kuachana

Mimi imenitokea tumeachana mdada aliwahi kunipa zawadi ya vitambaa vya kufuma ili nipambe ndani, tumeachana kaanza kunidai,
Sasa huyu ni mwanamke na sio mwanaume kama mnavyodai, Mimi naona inategemea na mtu mwenye,
 
Mimi siwezi kudai vitu nilivyompa x. Tena mwaka baada ya kuachana akaanza kunikumbusha yeye mwenyewe kuhusu vitu nilivyompa. Mpaka picha zangu anazo huwa ananiambia akinimiss anaangalia picha zangu na jacket ya truck.
Mwanaume rijali hawezi kuanza kudai, ujinga huo
 
Mimi imenitokea tumeachana mdada aliwahi kunipa zawadi ya vitambaa vya kufuma ili nipambe ndani, tumeachana kaanza kunidai,
Sasa huyu ni mwanamke na sio mwanaume kama mnavyodai, Mimi naona inategemea na mtu mwenye,
Hahahhaaaa kwaiyo ulirudisha vitambaa vyake?
Utakuwa mpole Sana ndo maana kaweza kukudai Au hujawai kumpa zawadi yoyote iliyo mvutia,
Huez jua
 
Mimi imenitokea tumeachana mdada aliwahi kunipa zawadi ya vitambaa vya kufuma ili nipambe ndani, tumeachana kaanza kunidai,
Sasa huyu ni mwanamke na sio mwanaume kama mnavyodai, Mimi naona inategemea na mtu mwenye,
Matokeo yake nilimpa lakini akanigeuzia kibao Mimi sitaki tena vitambaa nataka pesa, nikamuuliza shilling ngapi akadai elfu kumi na tano, nikampa nikabaki na vitambaa, na Mimi mpaka Leo navitumia imekuwa kama kumbukumbu,
 
Matokeo yake nilimpa lakini akanigeuzia kibao Mimi sitaki tena vitambaa nataka pesa, nikamuuliza shilling ngapi akadai elfu kumi na tano, nikampa nikabaki na vitambaa, na Mimi mpaka Leo navitumia imekuwa kama kumbukumbu,
Hahahahaaaa! Akaamua kukuuzia jumla
Poule mkuu
 
ee4b05789659043aa89f6fead5825da9.jpg

Zamani Nilikuwa naogopa Sana kupokea zawadi ya aina yoyote kutoka kwa boyfriend kwa kuhofia kudaiwa baada ya mahusiano kwisha, kama[emoji115][emoji115]ivo[emoji23][emoji23]

nakumbuka niliwai kupewa simu, niliiweka tu nyumbani tena kwenye begi la nguo ili icje ikaharibika na Mwisho wa siku tuliachana nikaambiwa CM yangu jumapl uilete nanikairudisha ikiwa mpya

Sasahv nikipewa hela na anko boyfriend Hiyo Hiyo Ntairudisha kwake kwa kumnunulia zawadi
Kulingana na pesa aliyonipa

Kwanini wanaume huwa mnadai zawadi mlizokuwa mnawapa wapenzi wenu jamaniiii
Mi huwa zawadi yangu sperms tu, mwanaume huwezi kudai sperms,
 
ee4b05789659043aa89f6fead5825da9.jpg

Zamani Nilikuwa naogopa Sana kupokea zawadi ya aina yoyote kutoka kwa boyfriend kwa kuhofia kudaiwa baada ya mahusiano kwisha, kama[emoji115][emoji115]ivo[emoji23][emoji23]

nakumbuka niliwai kupewa simu, niliiweka tu nyumbani tena kwenye begi la nguo ili icje ikaharibika na Mwisho wa siku tuliachana nikaambiwa CM yangu jumapl uilete nanikairudisha ikiwa mpya

Sasahv nikipewa hela na anko boyfriend Hiyo Hiyo Ntairudisha kwake kwa kumnunulia zawadi
Kulingana na pesa aliyonipa

Kwanini wanaume huwa mnadai zawadi mlizokuwa mnawapa wapenzi wenu jamaniiii
Rudisha mali za watu
 
Back
Top Bottom