Tabia ya kudaiana vitu baada ya kuachana

Tabia ya kudaiana vitu baada ya kuachana

Minah24

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
1,043
Reaction score
1,937
ee4b05789659043aa89f6fead5825da9.jpg

Zamani Nilikuwa naogopa Sana kupokea zawadi ya aina yoyote kutoka kwa boyfriend kwa kuhofia kudaiwa baada ya mahusiano kwisha, kama[emoji115][emoji115]ivo[emoji23][emoji23]

nakumbuka niliwai kupewa simu, niliiweka tu nyumbani tena kwenye begi la nguo ili icje ikaharibika na Mwisho wa siku tuliachana nikaambiwa CM yangu jumapl uilete nanikairudisha ikiwa mpya

Sasahv nikipewa hela na anko boyfriend Hiyo Hiyo Ntairudisha kwake kwa kumnunulia zawadi
Kulingana na pesa aliyonipa

Kwanini wanaume huwa mnadai zawadi mlizokuwa mnawapa wapenzi wenu jamaniiii
 
Mzee wa nje ya box, ngoja watoto wake wakue tuone kama hatawakimbizia serikalini
 
Cku mtu akikudai mabao yake,utamrudishia?!
 
UOGA TU NA KUTOJIAMINI.UKIPEWA VITU TUMIA TU NA AKIKUDAI BAADA YA KUACHANA NA WEWE MDAI MALIPO YA KUCHUBULIWA NGOZI YA PAPUCHI
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]iyo ya kuchubuliwa ngozi ya papuchi nimeipenda
 
Wote mlienjoy wakati huo ndo maana na zawadi mkapeana, Kwanini Uje kudai Baadae
Tatizo ww hujiamini.


Mm siwezi kumnunulia mpenz wangu simu halaf aiweke kabatini ina maana hakuona umuhimu wake au haikuwa kwny standard anazotaka
 
Mm nakumbuka kuna mkaka alikuwa mtaani kwetu alikuwa anapenda sifa nikaamua kumkomesha alivyonitongoza akawa ananihudumia balaa mazawadi kibao pesaa yani full raha akitegemea atapata papuchi na hiyo njia alikuwa anatumia kuwalaghai Wadada siku nilivyomfukuza mbn nilikoma
Akaja mpka home kwetu kudai vitu vyake kwamba nimlipe
Mama angu akamwambia hata rais huwa anatoa rushwa ili apate kura akikosa huwa anarud kwenda kuwadai wapiga kura?
Toka siku hiyo alishika adabu ananichukia kuna siku alitaka kunigonga na gar kwa makusudi
 
Nikuambie kitu, first gift I accepted was from my husband. I don't mean to shun you but for me I take a different stance.

Wanaume hawatoi gift tu just because wanajiskia. Waone hivi hivi. Huwa wanatoa gifts kama wanainvest vile. Wanakuvutia kasi tu. Wanajua watakupata tu no matter how long it takes but they bank on their gifts knowing that sooner or later.... they will have you. And the deeper their pockets the sooner they will have you.

Sasa we hapo pokea pokea tuuuuuu. Chekelea tuu. Mwisho wa siku utajipeleka mwenyeweeeee machinjioni. Tena macho makavuuuu. Sasa kuna mawili. Akadai zawadi zake sababu alichotarajia sicho, you were not worth the chase or you gave in too soon. Yaani ROI imefeli kutoa matunda.

To be on the safe side, decline the gifts. Say no. Don't trade your soul with gifts which is the devils way of luring you into sin.

Believe me, utaepuka mengi. Hata gear ya usumbufu itampungua.
 
Hao ni wavulana wa mikoani, huku mjini for as long as umetoa penzi hatuna huo u-pimbi.
 
Tatizo ww hujiamini.


Mm siwezi kumnunulia mpenz wangu simu halaf aiweke kabatini ina maana hakuona umuhimu wake au haikuwa kwny standard anazotaka
Nilikuwa na cm kabla cjapewa nyingine, yakwake Nilikuwa Natumia nikienda kwake tu

Na wakati huo Nilikuwa bado Nipo shule,cm niliyokuwa nayo alininunulia baba angu na Nilikuwa Naishi kwa wazazi, kwaiyo cm ya boyfriend Nilikuwa naifichaga tu
 
Back
Top Bottom