Aaahh mkuu unapoingia kwa mahusiano ,inshu za kutoaminiana ,hofu nawasiwasi hazina maana yoyote !!. So kuna wakati upo mbali nalazima usafi ,kuna wakat tu anahitaji aje akusaidie usafi ukiwa upo kwa mishe.Huogopi kupeana funguo mkuu?
Iko cku utasaidiwa kuhama wewe Ohooo!
Tatizo atanionaa falaaa....Samehe tu atakama ujatunukiwa papuchi
Kama kutoa hutoi kwa nini usirudishe vitu vya watu? Kwani hana ndugu wenye uhitaji? Hanna haki isiyo kuwa Na wajibu![]()
Zamani Nilikuwa naogopa Sana kupokea zawadi ya aina yoyote kutoka kwa boyfriend kwa kuhofia kudaiwa baada ya mahusiano kwisha, kama[emoji115][emoji115]ivo[emoji23][emoji23]
nakumbuka niliwai kupewa simu, niliiweka tu nyumbani tena kwenye begi la nguo ili icje ikaharibika na Mwisho wa siku tuliachana nikaambiwa CM yangu jumapl uilete nanikairudisha ikiwa mpya
Sasahv nikipewa hela na anko boyfriend Hiyo Hiyo Ntairudisha kwake kwa kumnunulia zawadi
Kulingana na pesa aliyonipa
Kwanini wanaume huwa mnadai zawadi mlizokuwa mnawapa wapenzi wenu jamaniiii
Kula utoe papuchi, mtu umebana afu wataka uachwe tuu.Mm nakumbuka kuna mkaka alikuwa mtaani kwetu alikuwa anapenda sifa nikaamua kumkomesha alivyonitongoza akawa ananihudumia balaa mazawadi kibao pesaa yani full raha akitegemea atapata papuchi na hiyo njia alikuwa anatumia kuwalaghai Wadada siku nilivyomfukuza mbn nilikoma
Akaja mpka home kwetu kudai vitu vyake kwamba nimlipe
Mama angu akamwambia hata rais huwa anatoa rushwa ili apate kura akikosa huwa anarud kwenda kuwadai wapiga kura?
Toka siku hiyo alishika adabu ananichukia kuna siku alitaka kunigonga na gar kwa makusudi
Uchoyo wa nnAcha uchoyo
Mama angu naye yupo vizur Kwa majibu Unajua wahenga wanashda sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimewapenda bure you and your mom
Mama alimjibu tu mm ndo nilizinguaUlizinguaaa...Wew na mama akoo mnakulaa hela za watuu alafu hutaki utiwee???
So wa K yaani umekula vitu vya jamaa alafu ukamchinja bahariniUchoyo wa nn
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ulimbukeni tuu
Me hata angedai kwa bunduki sirudishi kitu chochote alichonipa
Ndio apambane na hali yake kwangu niliomba alileta mwenyewe hiyo rushwa kabisaSo wa K yaani umekula vitu vya jamaa alafu ukamchinja baharini
Better decline them.Ndo maana nikipewa hela nairudisha kwa kumnunulia zawadi
Cna cha kudaiwa tena
Give my SPERM back!![]()
Zamani Nilikuwa naogopa Sana kupokea zawadi ya aina yoyote kutoka kwa boyfriend kwa kuhofia kudaiwa baada ya mahusiano kwisha, kama[emoji115][emoji115]ivo[emoji23][emoji23]
nakumbuka niliwai kupewa simu, niliiweka tu nyumbani tena kwenye begi la nguo ili icje ikaharibika na Mwisho wa siku tuliachana nikaambiwa CM yangu jumapl uilete nanikairudisha ikiwa mpya
Sasahv nikipewa hela na anko boyfriend Hiyo Hiyo Ntairudisha kwake kwa kumnunulia zawadi
Kulingana na pesa aliyonipa
Kwanini wanaume huwa mnadai zawadi mlizokuwa mnawapa wapenzi wenu jamaniiii