[emoji122][emoji122][emoji111]uko vizurMwanaume Wa kweli akitoa huhesabu ni sadaka
Mm nikitoa nahesabu sadaka na siiweki akilini kbs
Hata akishoboka namuaga kwa neno tamu tu
Daima huwa wananikumbuka wanabaki kubung'aa tu na mm akinitema huwa naacha hata mazoea nayatoa
Mkuu naona umekuja kututukana hukuWanaume wa Kisukuma ndiyo wana tabia hizi,vinginevyo huyo mwanaume atakuwa njaa kali.
Lakini na nyinyi wanawake muache tabia za kuchuna ndiyo maana munadaiwa.
Akili yako INA akili kunywa chochote nakuja kulipaKama cjampenda mtu cwez kumkubali kabisaaa
Uoga wa kudaiwa ndo unanisumbua
Alafu huwa Naamin kitu cha mtu mwingine cyo changu, ntakitumia kwa umakin kicje kikaharibika
Ndio maana unafikiria atakuacha na kudai vituHapana buanaa
Ila usideke hehebehe[emoji122][emoji122][emoji111]uko vizur
Ukiminya pua unasisimua miamala sasa ikianza kusoma sijui utaifanyajeHapana buanaa
Izo mahari zenyewe Kuna muda mnafidia, unaachana na mke, unarudi ukweni unamchukua mdogo ake hahahahaaaa..Mkuu naona umekuja kututukana huku
Yaani wasukuma tulivowapole hivo
Hayujui makuu
Tukimdondokea moyo yaani acha tu atafaidi mpaka basi
Huwa tunadai mahali tu kwa sababu ni za jamii lakini kuhonga akaa sisi siyo wachaga hahahah
Hiyo siyo sukuma mkuu ni kabila jingineIzo mahari zenyewe Kuna muda mnafidia, unaachana na mke, unarudi ukweni unamchukua mdogo ake hahahahaaaa..