Tabia ya kuchungulia simu ya mwenza.

Tabia ya kuchungulia simu ya mwenza.

Habari za leo wakuu! Naimani kila mmoja wetu anaendelea vizuri na shughuli za kulijenga taifa letu pendwa.
Jamani kuna watu imekuwa kama asili yao kufuatilia kila kitu kinachoendelea kwenye simu ya mwenza wake kuanzia calls, texts n.k. Hivi ni nini njia ya kumbadilisha mtu kama huyu ili angalau apunguze hii tabia.
Kuwa mwaminifu ndio njia pekee
 
Habari za leo wakuu! Naimani kila mmoja wetu anaendelea vizuri na shughuli za kulijenga taifa letu pendwa.
Jamani kuna watu imekuwa kama asili yao kufuatilia kila kitu kinachoendelea kwenye simu ya mwenza wake kuanzia calls, texts n.k. Hivi ni nini njia ya kumbadilisha mtu kama huyu ili angalau apunguze hii tabia.
Ni dalili kwamba hakuamini, chunguza nyendo zako uone ni wapi panapomtia shaka kisha badilika wewe kwanza. Mjengee uaminifu, hakuna mbadala wa hapo.
 
Aisee me nimejaribu kuacha hako katabia lakini nimefail kabisa.
Huwa nawashwa tu baba naniliu akitoka akaacha simu kuna kasauti kananiambia hebu shika simu uangalie sms [emoji23][emoji23]
hahahahahhaahaaaaa......you made my day......hakika hakuna mwanamke asiyefanya haya....hata akijiapiza vipi....atagusa tuuu.....hahahahahaa
 
Kila mtu kwa namna moja au nyingine ana hako katabia. Mie uwa naweza kukaa miaka hata miwili ila baadae kuna kasauti kananiambia chaungulia na uwa sikadharau
 
sio sahihi kuchunguzana isipokuwa kama kuna mashaka ni sawa kabisa kumchunguza ili ujiridhishe!!!!!!
 
Habari za leo wakuu! Naimani kila mmoja wetu anaendelea vizuri na shughuli za kulijenga taifa letu pendwa.
Jamani kuna watu imekuwa kama asili yao kufuatilia kila kitu kinachoendelea kwenye simu ya mwenza wake kuanzia calls, texts n.k. Hivi ni nini njia ya kumbadilisha mtu kama huyu ili angalau apunguze hii tabia.
Kwani unamficha nini?
Na kwa nini umeolewa naye kama hutaki akufahamu?
 
Njia rahisi na bora ni wewe kubadilika tabia ili uaminike
Habari za leo wakuu! Naimani kila mmoja wetu anaendelea vizuri na shughuli za kulijenga taifa letu pendwa.
Jamani kuna watu imekuwa kama asili yao kufuatilia kila kitu kinachoendelea kwenye simu ya mwenza wake kuanzia calls, texts n.k. Hivi ni nini njia ya kumbadilisha mtu kama huyu ili angalau apunguze hii tabia.
 
Inaonekana ck hizi kweli Hakuna mapenzi tena bali ni kuishi na mtu siku zisonge mbele tu kusubiri kufa
 
Umeona ehee [emoji23][emoji23][emoji23]
kuna kakitu sijui nini kinawawasha hakika.......niliweka kamera kwa siri nikamrekodi jinsi alivyokuwa anahangaika kudukua fasta fasta,,, hahahahahaha,,, wala hakukuwa na kitu basi hofu tuuu....
 
kuna kakitu sijui nini kinawawasha hakika.......niliweka kamera kwa siri nikamrekodi jinsi alivyokuwa anahangaika kudukua fasta fasta,,, hahahahahaha,,, wala hakukuwa na kitu basi hofu tuuu....
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Habari za leo wakuu! Naimani kila mmoja wetu anaendelea vizuri na shughuli za kulijenga taifa letu pendwa.
Jamani kuna watu imekuwa kama asili yao kufuatilia kila kitu kinachoendelea kwenye simu ya mwenza wake kuanzia calls, texts n.k. Hivi ni nini njia ya kumbadilisha mtu kama huyu ili angalau apunguze hii tabia.
Kama hueleweki lazma mtu atake kukuchunguza..ww kua free na cm yako uone kama atahangaika nayo..umalaya sio mzuri jamani..mm siwez..kipindi nipo chuo mda wa paper ukifika afu man angu bado yupoyupo around nlikua nampa tuu akae nayo masaa 2 au zaid thow yeye alikua kitombi yakwake ilikua na paswed na hakupi uguse. Kwa kuficha kwake cm ake nkajua tuu ni kitombi.
 
Aisee me nimejaribu kuacha hako katabia lakini nimefail kabisa.
Huwa nawashwa tu baba naniliu akitoka akaacha simu kuna kasauti kananiambia hebu shika simu uangalie sms [emoji23][emoji23]
Katabia ka mama nanii kabisa hako, kabla hajalala lazma apekue kisemeo changu.
 
Mimi ukiona sina habari na simu yako maana yake sina habari na wewe
 
Kama hueleweki lazma mtu atake kukuchunguza..ww kua free na cm yako uone kama atahangaika nayo..umalaya sio mzuri jamani..mm siwez..kipindi nipo chuo mda wa paper ukifika afu man angu bado yupoyupo around nlikua nampa tuu akae nayo masaa 2 au zaid thow yeye alikua kitombi yakwake ilikua na paswed na hakupi uguse. Kwa kuficha kwake cm ake nkajua tuu ni kitombi.
Yani mtu ukiona anakuwa mkali na simu yake tu ujue kuna analoficha na mie ndo ntafukunyua ki I.T hadi nione uchafu wako hata ukifuta logs, ntaziona tu.

Nshagombana sana na mamanz ambao si waaminifu ndio huwa hawataki simu zao ziguswe. Ukiskia kila mtu si ana simu yake ujue huna mtu hapo.
 
Back
Top Bottom