RUV ACTVIST.
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 472
- 110
Uchunguzi mdogo nilioufanya nimegundua akindada wengi wana tabia ya kuomba, hata kama wanauwezo wa kiuchumi lakin hawachi kuomba,naamaanisha kumwomba mwanaume pesa. chanzo chake nini? je uko sawa hiyo? haiwazalilishi hiyo?
Mbaya zaidi imejengeka ktk jamii kukiwa na wapenzi basi mwanaume lazima amfinance mwanamke inakuwaje? kuna mtu humu ndani anashanga eti wako na mpenz wake two year hajamuomba kitu,manake ni lazima mtoto wa kike aombe? mi binasfi inanikela kama nini?
Mbaya zaidi imejengeka ktk jamii kukiwa na wapenzi basi mwanaume lazima amfinance mwanamke inakuwaje? kuna mtu humu ndani anashanga eti wako na mpenz wake two year hajamuomba kitu,manake ni lazima mtoto wa kike aombe? mi binasfi inanikela kama nini?