Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,169
- 3,359
Hao wanawake wa Tandahimba sio wa town wewe...
Tabia hizo wanazo wanawake,ukiona mwanaume anakuiliza hivo jua ni domo zege anazuga huku anatafuta maneno ya maana akwambie.[/QUOT
si kweli hata kidogo wanaume wa siku hizi wapo kimaslai kama walivyo wanawake.
na shida yangu mimi na ulichoandika ni mlinganisho au mfananisho wa wanawake uliowataja na wanaume uliokusudia kuwaongelea. inaonesha dhahiri kuwa ulikuwa unazungumzia makundi mawili tofauti kabisa. hata hivyo sijaelewa tabia ulizozitaja tena specific saba ni za wakati gani wa mapenzi yenye malengo yapi? kwa sababu mambo uliyoyataja yanaweza kufanywa na aina fulani ya wanawake au kundi fulani la wanawake japo pia si kwa namna ulivyoiandika. mambo haya ya tabia yawatu yanategemea sana na wapi,elimu,uwezo,mila na desturi,mazoea malezin.k
mwisho kabisa mwanamke lama alivyo mwanaume anapenda awe na mtu mzuri mwenye uwezo wa kumtunza au kutunzana. kama vila siku hizi baadhi ya wanaume waliosoma wenye pesa hawataki kabisa kuoa mwanamke asiyeeleweka. anataka kuoa mwanamke wenye kulipa ada ya watoto huku yeye alipe kodi ya nyumba. atakayetoa hela ya chakula huku yeye atoe hela ya bill ya umeme.
MASLAI
Katika Philosophy kuna msemo tunasema"Man denkt immer um was für sich erforderlich ist""(samahan kwa hiyo lugha maana najua hujaelewa kwa kuwa hata katiki dictionary haipo)Duuuuh kazi kweli kweli, lakini Free ideas ukweli mwanamke uliyemzungumzia ni yule wa kijijini kabisa enzi za miaka ya 47
Samaki mmoja akioza unamtoa wengiene unapika,so nimejikuna panapowasha tu.lakini siku hizi wapo tofauti kidogo. Mbona wapo wanawake wanaowahonga wanaume sasa hapo inakuwaje??
Ukisema serikali ya ccm ni Mafisadi exceptional wapo lazima lakini kuchambua huja baadae kama mlivofanya.asanteni.Wapo wanawake wana kazi zao za maana na wanasukuma mikoko mikali kabisa, nyumba na u msmart mpaka unapagawa unajiuliza nitamuanzaje huyu mtu kama umefall in love??
Hakuna porojo hapo wameelewa sema tu hawawezi kukiri hapa.Na nina imani baadhi watabadilikaKwa hapa labda kama ulitaka kupiga porojo lakini umewaonea dada zang.
Hamna wangu mbona niko poa tu nimewaamkia vibaya tu.Mnisamehe imebidi tu.Lakini hapo mwisho c nimewapa big up hujaona Iron Lady?
Nimeshindwa kuprove nn??Kweli kabisa, ameshindwa kuprove
Hapo hakuna historia mkuubadala yake anazungumzia historia ya dahari na dahari.
Asili ya Mwanadam ndo inasema hivyo sio amri zangu Iron Lady.Hata mi naumia sana mnavotuhangaikia tukiwa wadogo.Lakini ukwel lazima sa zingine tuseme.big up hiyo uliyotoa haijafuta ulichoandika huku juu. hata hiyo big up kubeba mimba miezi tisa ni kazi sawa ila hujaweza kuona kazi kubwa ya mwanamke anayoendelea kuifanya duniani ila hiyo ya miezi tisa tu??????????????????????????
kukulea hadi ufike kiburi cha kuandika uliyoyaandika hujaziona hizo tabia njema za mwanamke. labda nikukumbushi japo hutakumbuka.
ulipozaliwa tu ulikuwa unakojoa kila baada ya nusu dakika , na kujinyea (kujisaidia) ,
nyie mnaishia kutafuta kwa jasho (kula kwa jasho) sisi tuna zaa kwa uchungu tunalea kwa shida tunakula kwa jasho na tuna tunza familia.
sema mkuu
wewe ndio ubadilike kwenda kuwatongoza wanawake wasio hadhi yako. inaelekea unatongoza wanawake usio wajua.Katika Philosophy kuna msemo tunasema"Man denkt immer um was für sich erforderlich ist""(samahan kwa hiyo lugha maana najua hujaelewa kwa kuwa hata katiki dictionary haipo)
Kwa hiyo na mimi inawezekana nimejikuna pale panapowasha tu sio mwili mzima!
Samaki mmoja akioza unamtoa wengiene unapika,so nimejikuna panapowasha tu.
Ukisema serikali ya ccm ni Mafisadi exceptional wapo lazima lakini kuchambua huja baadae kama mlivofanya.asanteni.
Hakuna porojo hapo wameelewa sema tu hawawezi kukiri hapa.Na nina imani baadhi watabadilika
Asili ya Mwanadam ndo inasema hivyo sio amri zangu Iron Lady.Hata mi naumia sana mnavotuhangaikia tukiwa wadogo.Lakini ukwel lazima sa zingine tuseme.
ni sahihi usemavyo mkuu ila namna ulivyoisema ndio inayoletashida. haya mkuu nikutakie asbh nzuri na usiwe unawaamkia vibaya wanawake. wanawake wakiwaamkia vibaya wanume pia itakuwaje maana nyie wanaume mnamaudhi aikwambie mtu.
Hao ni wanawake wa tandale kwa mfupa mbwa;
wanawake tunachokiangalia wewe haukijui kabisa.
Hii ni joke tu, wewe unahangaika kabisa kumjibu tena uko siriazi bwana!tabia hizi ulizozitaja ni bias na wewe kutaja sababu hizi utakuwa unalenga mtu fulani.
na katika tabia zote wanawake walizonazo wewe umeona hizi tu.
pole kwa yaliyokukuta.
otherwise this is fallacy of generalization.
Huwa sitongozi hovyo,niko selective sana mkuu.wewe ndio ubadilike kwenda kuwatongoza wanawake wasio hadhi yako.
Hiyo ni hatari,siwezi fanya hivyo.inaelekea unatongoza wanawake usio wajua.
wenzio hutongoza wanawake ambao wanawafahamu vizuri sana ndio unaanza kumtongoza huyo wa kwenye simu ukija kukutana nae kimeo duh pole sana mkuu kwa yaliyo kukuta