Taasisi ya "Usheikh'' na fani ya uigizaji Tanzania

Hauhitaji hata elimu ya sekondari kujua hawa watu wamelipwa kufanya walichofanya. Njaa mbaya. Wahenga waliposema adui yako muombee njaa, hawakukosea.
 
Hata Wachungaji na Manabii wa kulipwa wapo na walikuwepo tangu enzi za Wafalme wa Israeli (BC), wapi hata sasa na wataendelea kuwepo mradi tu wanapata kitu tumbo linahitaji.

Vv
 
Hivi ni nani kamwambia EL kuwa bila yeye hii nchi itayeyuka na kuwa ziwa au bahari?
Ni nini haswaa anachokikimbilia Ikulu hadi atumie pesa na ulaghai kiasi hicho?
 
Tatizo taasisi ikiwa aina vyanzo vya mapato na inategemea hisani za serikari, raia matajiri na wanasiasa ndio mwanzo wa kanuni, utamaduni wa kufanya mambo kama taasisi inavyotaka; kuanza kuwa challenged na interest za watu.

The Church of England ina majengo imewapa serikari za mitaa kupangisha kwa kodi za chini just staying on the moral side of society, mashule ambayo mengine wamekodisha serikari, universities zinazoendeshwa na serikari as secular institution ina sehemu zinazokodisha kwa ajili ya harusi na biashara luluki zenye faida.

Hivi vitu ndio vyanzo vya mapato yao inatoa ajira za wahasibu, business minds na wengineo pale ambapo biashara aipo on the hands of the third party hata hivyo business model ya kanisa ni ethical au state promoted values except where it is private kanisa inaendesha yenyewe shughuli zake.

Uwezi kukuta viongozi wanaenda kinyume na kanuni za kanisa, wanalipwa na kanisa, nyumba zao za ibada zinaghramiwa, mahala wanapoishi ni nyumba za kanisa na uki-retire unapakwenda wana retirement home zao za wewe na mkeo.

Ndio maana uwezi kukuta mchungaji anahangaika na sadaka zaidi ya kuzikabidhi kwa wahusika au kujipendekeza labda kwa Tanzania kwa wale walio wadini, Lakini for the large part kazi yao ni kuhubiri neno la mungu au moral values.

Watu wa dini Tanzania wengi ni njaa na mwenye njaa hana sauti huo ndio uhalisia, dini isiwe sababu ya umaskini taasisi za kidini inabidi ziwe creative dunia ya leo. Sio watu wakipewa misaada wanafikiria kujinufaisha badala ya kuimarisha taasisi. Ningekuwa kiongozi wangetia adabu sepa lupango wote sijui katiba yeleyele kesho huko segerea.

Hata hiyo mahakama ya kadhi kikubwa ni njaa watu wanatafuta mishahara tu kwa lazima.
 
Punguza kutumika mtoa mada hawa wamekwenda dodoma sio monduli epuka kuwa kondomu ya kisiasa hata wasingekwenda hawa wewe hujui umma unamtaka nani mtaani katika urais?lakini mashetani yanawadanganya kama farao alivyokua na moyo mgumu
 
CCM wakigundua una njaa wanafurahi sana!Leo hii Kadinali Pengo anapelekeshwa kama ng'ombe hadi kupews maneno ya kusema kupinga tamko la maaskofu wenzake

Viongozi wa dini TZ ni watu wa hovyo hovyo sana!Ma Sheikh hawa wa Dar njaa tupu nao kazi yao ni kuipamba serikali tu
 
Ije mvua lije jua Rais tunayemtaka ni Edward Ngoyai Lowassa hatuko tayari kuona familia ya Rais unatupangia Rais ajaye hapa patachimbika fanyeni masihara
 
Hapa Ritz, The Big Show na FaizaFoxy hawatii mguu. Leo kwa mara ya kwanza watapingana na Mzee Mohamed Saidi hadharani kwani CCM wanaipenda na hawa masheikh ni mwiko kwao kuwasema au kuwaongelea vibaya. Leo Mohamed Saidi kazi anayo.
Labda ili tuwatendee haki, hebu tuwaite watie maoni yao hapa. Jamani akina Ally Kombo, FaizaFoxy, Nonda na Elungata na wanaCCM waisilamu wa humu, njooni huku mchague kukitetea kimojawapo kati ya dini yetu na chama chetu, naona mzee Mohamed Said anamdhalilisha mgombea pekee mwenye nguvu katika chama
 
Hapa Ritz, The Big Show na FaizaFoxy hawatii mguu. Leo kwa mara ya kwanza watapingana na Mzee Mohamed Saidi hadharani kwani CCM wanaipenda na hawa masheikh ni mwiko kwao kuwasema au kuwaongelea vibaya.

Leo Mohamed Saidi kazi anayo.

kweli kabisa mashehe UBWABWA wa kina The Pig show hao..
 
Last edited by a moderator:
masheikh wametumia haki yao wakiwa kama raia wengine wameoyesha mtu ambaye wao wanaona anafaa kuwa rais wa Tanzania, iwe wamesukumwa na njaa zao au kitu kingine ila wametimiza kile wanachokiamnini wao. na hawataishia hao masheikh tu,kuna makundi ya watu mengi yatajitokeza kuunga mkono kiongozi wamtakao wao,iwe kwa kupewa kitu kodogo au la
 
Nafikiria kwa kina. Ingekuwa vipi hao wangekuwa mapadre au maaskofu walio kwenda kwa Lowassa kwa dhamira hiyo hiyo ya kumuomba agombee uongozi. Mzee wangu Mohamed Said angeandika nini hapa jamvini? Nafikiri kwa kina na sipati majibu.
 
masheikh wametumia haki yao wakiwa kama raia wengine wameoyesha mtu ambaye wao wanaona anafaa kuwa rais wa Tanzania, iwe wamesukumwa na njaa zao au kitu kingine ila wametimiza kile wanachokiamnini wao. na hawataishia hao masheikh tu,kuna makundi ya watu mengi yatajitokeza kuunga mkono kiongozi wamtakao wao,iwe kwa kupewa kitu kodogo au la

Kama wale wamachinga wa mwanza ndugu,nakubaliana na ww
 
Nafikiria kwa kina. Ingekuwa vipi hao wangekuwa mapadre au maaskofu walio kwenda kwa Lowassa kwa dhamira hiyo hiyo ya kumuomba agombee uongozi. Mzee wangu Mohamed Said angeandika nini hapa jamvini? Nafikiri kwa kina na sipati majibu.

Nafikili wiki ijayo maaskofu wa moshi nawo wataenda kumuunga mkono Lowasa ndugu
 
Nafikiria kwa kina. Ingekuwa vipi hao wangekuwa mapadre au maaskofu walio kwenda kwa Lowassa kwa dhamira hiyo hiyo ya kumuomba agombee uongozi. Mzee wangu Mohamed Said angeandika nini hapa jamvini? Nafikiri kwa kina na sipati majibu.

Masanja,
Kile ambacho ningeandika kisingekuwa na tofauti na hiki ulichosoma.
 
Labda ili tuwatendee haki, hebu tuwaite watie maoni yao hapa. Jamani akina Ally Kombo, FaizaFoxy, Nonda na Elungata na wanaCCM waisilamu wa humu, njooni huku mchague kukitetea kimojawapo kati ya dini yetu na chama chetu, naona mzee Mohamed Said anamdhalilisha mgombea pekee mwenye nguvu katika chama

Jabulani,
"Kudhalilisha?"
Hapana umetumia neno zito.

Nazijua siasa za nchi hii kuanzia enzi za kudai uhuru hadi hivi sasa.

Ndiyo ukaona nimeandika hayo uliyosoma.
Sidhani kama nimemdhalilisha yeyote.
 
Back
Top Bottom