THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,378
- 12,926
Hapa Ritz, The Big Show na FaizaFoxy hawatii mguu. Leo kwa mara ya kwanza watapingana na Mzee Mohamed Saidi hadharani kwani CCM wanaipenda na hawa masheikh ni mwiko kwao kuwasema au kuwaongelea vibaya.
Leo Mohamed Saidi kazi anayo.
Kweli wewe ni mshikishishwa chuma!!!
Angalia sana wengine vyuma vyetu ni vya moto.
Na vina koki mbele.
Utalowa huku unajiona.
Oooh...