Taasisi ya Kigoda cha Mwalimu Nyerere ijitathimini

Taasisi ya Kigoda cha Mwalimu Nyerere ijitathimini

gogo la shamba

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2013
Posts
6,669
Reaction score
2,165
Nimefuatilia mjadala uliotayarisha na wakina Butikuna akina Polepole nimebaini kwamba kinaweza kusababisha vurugu nchini kwa sababu wanataka kuwaaminisha watanzania kwamba ili nchi iwe na amani ni lazima wananchi waichague CCM tu.

Vinginevyo kama watachagua chama tofauti na CCM nchi itaingia vitani yaani amani kwao ni CCM tu na yote hii eti kwa sababu chama kama CHADEMA mgombea wake ni Lowassa ambao kwa maoni yao wanaona hafai.

Hivi kweli hii ndio kazi ya hiyo taasisi?
 
Achana nao hao, ni watu waliojichokea na kukata tamaa, wanatapatapa tu. Wanataka kulitumia jina la Mwalimu vibaya. Ni wapiga kampeni wa CCM hao. Usishangae sana, hata 2007 kule Kenya walitokea type kama hizo na vigoda na makoshi ya Kenyata, wakijaribu kuinusuru KANU lakini wakagonga mwamba.
 
Kuna mama mmoja ameongea alivyo sijaona tofauti na dada poa wa sinza.
kigoda cha mwalimu kwa sasa ni kijiwe cha wahuni km polepole na kina butiku.
kwa kifupi wanamdharirusha mwalimu
 
hawa akina butiku wamefadhiliwa na kudhaminiwa na ccm ili wawapotoshe watanzania. LAKINI watanzania hawadanganyiki tena kwani wamekwisha azimia ni nani watakayemchagua. kinachofanyika ni wao kigoda kumridhisha mwajiri wao ccm wakiamini kuwa ccm ikishinda watapatiwa ulaji mpaka mwisho wa uhai wao. sisi vijana tunasema wamebugi meen..
nimefuatilia mjadala uliotayarisha na wakina Butikuna akina Polepole nimebaini kwamba kinaweza kusababisha vurugu nchini kwa sababu wanataka kuwaaminisha watanzania kwamba ili nchi iwe na amani ni lazima wananchi waichague ccm tu,vinginevyo kama watachagua chama tofauti na ccm nchi itaingia vitani yaani amani kwao ni ccm tu,na yote hii eti kwa sababu chama kama chadema mgombea wake ni Lowasa ambao kwa maoni yao wanaona hafai. hivi kweli hii ndio kazi ya hiyo taasisi?
 
Kingunge ndiye sio mnafiki tu. Hawa hata hawaoni kuwa maoni ya wananchi kupitia tume yao yalionekana na CCM kama wamegushi vile na yakatupwa shimoni. Hawaoni kuwa mchakato mzima wa kupata mgombea uraisi ndani ya chama chao ulikiuka Katiba yao asilimia mia moja. Hawaoni kuwa hiyo ni dhambi kubwa kisiasa na bado wanajaribu kutetea chama hicho ambacho hata kilidiriki kusema wao ni vizee vinavyokaribia kufa! Nawashangaa sana!!
 
Kuna Mzee mmoja wa CCM alikuwa mchangiaji mada, kawaumbua vibaya sana hao makada wenzie wa CCM, kawaambia waache woga na kuwatisha tisha watanzania wanaotaka MABADILIKO.
Mwisho akamalizia kwa kusema ameipiginia CCM kwa nguvu zake zote na maisha yake yote lakini akashangaa kule Singida anapoishi Tundu Lissu wa CHADEMA akashinda ubunge 2010, na mbaya kuliko zote mwaka jana vijiji karibu vyote katika jimbo analotokea yeye huko Singida vikachukuliwa na CHADEMA, anasema hata kijiji anachozaliwa nacho kuna kijana mdogo sana wa CHADEMA kishinda.

Huyo Mzee akamalizia kusema wanaCCM
tujifunze kuwa wavumilivu na kukubali MABADILIKO kwani hayawezi kuzuilika mara yanapofika.
 
hawa kigoda cha mwalimu si ndo mlikua mnawasifu sana,leo wamekuwa wabaya?,,,kila mtu mnasema mbaya,wariba,lubuva,star tv,itv,cloud etc...
kila mtu akitofautiana na chadema huyo ni mbaya
 
hawa akina butiku wamefadhiliwa na kudhaminiwa na ccm ili wawapotoshe watanzania. LAKINI watanzania hawadanganyiki tena kwani wamekwisha azimia ni nani watakayemchagua. kinachofanyika ni wao kigoda kumridhisha mwajiri wao ccm wakiamini kuwa ccm ikishinda watapatiwa ulaji mpaka mwisho wa uhai wao. sisi vijana tunasema wamebugi meen..

Mungu ameamua kuwatumia malofa na wapumbavu kuifuta rasmi CCM milele ili wenye nguvu na hekima wasije kujisifu ni wao.
 

Attachments

  • 1444581888904.jpg
    1444581888904.jpg
    9.5 KB · Views: 648
Sisi wananchi tumesha amua,raisi wetu ni Lowasa,hizo nyingine mbwembwe tu kama kupiga push up nakadhalika..
 
butiku anajivunia sana heshima hasa kwa kizazi chetu ambacho tunaamini sana wazee kama hawa. analishwa maneno na hawa akina bwana mdogo Polepole? hawa wamelewa na fedha za tume za mwaka jana.
 
nimefuatilia mjadala uliotayarisha na wakina Butikuna akina Polepole nimebaini kwamba kinaweza kusababisha vurugu nchini kwa sababu wanataka kuwaaminisha watanzania kwamba ili nchi iwe na amani ni lazima wananchi waichague CCM tu.

Vinginevyo kama watachagua chama tofauti na CCM nchi itaingia vitani yaani amani kwao ni ccm tu,na yote hii eti kwa sababu chama kama chadema mgombea wake ni Lowasa ambao kwa maoni yao wanaona hafai.

Hivi kweli hii ndio kazi ya hiyo taasisi?

Muulize Lowassa mwaka 1995 ni nani alimzuia kupata urais,ukipata jibu utafahamu Kigoda cha Mwalimu wanamuenzi Nyerere kwa vitendo
 
nimefuatilia mjadala uliotayarisha na wakina Butikuna akina Polepole nimebaini kwamba kinaweza kusababisha vurugu nchini kwa sababu wanataka kuwaaminisha watanzania kwamba ili nchi iwe na amani ni lazima wananchi waichague CCM tu.

Vinginevyo kama watachagua chama tofauti na CCM nchi itaingia vitani yaani amani kwao ni ccm tu,na yote hii eti kwa sababu chama kama chadema mgombea wake ni Lowasa ambao kwa maoni yao wanaona hafai.

Hivi kweli hii ndio kazi ya hiyo taasisi?

Na ndio maana wamekosa coverage ya taarifa ya habari kwenye vituo vya TV vinavyojielewa.
 
Kingunge ndiye sio mnafiki tu. Hawa hata hawaoni kuwa maoni ya wananchi kupitia tume yao yalionekana na CCM kama wamegushi vile na yakatupwa shimoni. Hawaoni kuwa mchakato mzima wa kupata mgombea uraisi ndani ya chama chao ulikiuka Katiba yao asilimia mia moja. Hawaoni kuwa hiyo ni dhambi kubwa kisiasa na bado wanajaribu kutetea chama hicho ambacho hata kilidiriki kusema wao ni vizee vinavyokaribia kufa! Nawashangaa sana!!

Angalia usije ukafa wewe kabla yao.
 
Back
Top Bottom