Taasisi ya Kigoda cha Mwalimu Nyerere ijitathimini

Taasisi ya Kigoda cha Mwalimu Nyerere ijitathimini

Hayo mazee huwa hayaeleweki yanamsimamo gani, ila sasa angalau yanajipambanua kuwa ni wapinga mabadiriko.
 
Kwamtazamo wao UKAWA wakishinda amani itapotea? kwa mantiki ipi kwamba UKAWA wataleta vurugu AU walioshindwa hawatakubali na wataamua kuvunja amani.
 
Kigoda cha mwalimu Nyerere kamwe hakiwezi kubali fisadi aingie ikulu
..
 
Kigoda cha mwalimu Nyerere kamwe hakiwezi kubali fisadi aingie ikulu
..
Fisadi ni Lowasa aliyewezeshwa kuwa fisadi na CCM. Kigoda kinaita mdahalo ili kukinusuru CCM yenye kumilikiwa na mafisadi. NI UPUUZI KUTUMIA JINA LA MWL NYERERE kwa sasa CCM ikiwa kwenye siku za mwisho kuhukumiwa na wapiga kura.
 
Ni kweli hii mbegu wanayoipanda itawatokea puani. Kwa maana hata kama kweli mgombea wa ccm atashinda kihalali hawa vijana wanaoosha barabara na gari la Lowasa kwa mashati yao watajua ni hujuma tu! Better play this game fairly & get the deserved winner.
 
nimefuatilia mjadala uliotayarisha na wakina Butikuna akina Polepole nimebaini kwamba kinaweza kusababisha vurugu nchini kwa sababu wanataka kuwaaminisha watanzania kwamba ili nchi iwe na amani ni lazima wananchi waichague CCM tu.

Vinginevyo kama watachagua chama tofauti na CCM nchi itaingia vitani yaani amani kwao ni ccm tu,na yote hii eti kwa sababu chama kama chadema mgombea wake ni Lowasa ambao kwa maoni yao wanaona hafai.

Hivi kweli hii ndio kazi ya hiyo taasisi?

Kichwa Chako Tu Cha HABARI Kimedhihirisha Ni Kwanini Rais Mstaafu Mkapa Aliwaita " Wapumbavu Na Malofa ". MDAHALO Wa Leo Umeandaliwa Na MWALIMU NYERERE FOUNDATION ( MNF ) Na Wako Tofauti Mno KIMALENGO Na TAASISI YA KIGODA CHA MWALIMU NYERERE.. Kisaikolojia Ktk COMMUNICATION Mtu AKIKOSEA Tu HEADLINE Huna Tena Haja Ya Kupoteza Muda Wako Kusoma CONTENT Ya Nini KAANDIKA. Siku Nyingine Fanyeni UTAFITI Wa Kina Wa Vile MNAVYOTAKA Kuvileta Humu Vinginevyo UTAUMBUKA Bure Kwani TUPO WENYE AKILI ZETU KUBWA Na ZILIZOTUKUKA.
 
Kuna Taasisi ya Mwalimu Nyerere (Foundation) waliohost mdahalo wa Leo na ni tofauti na Kigoda Cha Mwalimu Nyerere amabacho naamini kiko chini ya UDSM. Hivi ni vitu viwili tofauti visichanganywe.
 
nimefuatilia mjadala uliotayarisha na wakina Butikuna akina Polepole nimebaini kwamba kinaweza kusababisha vurugu nchini kwa sababu wanataka kuwaaminisha watanzania kwamba ili nchi iwe na amani ni lazima wananchi waichague CCM tu.

Vinginevyo kama watachagua chama tofauti na CCM nchi itaingia vitani yaani amani kwao ni ccm tu,na yote hii eti kwa sababu chama kama chadema mgombea wake ni Lowasa ambao kwa maoni yao wanaona hafai.

Hivi kweli hii ndio kazi ya hiyo taasisi?
Hivi nani aleyekuambia Nyerere Foundation ndiyo Kogoda cha Mwalimu Nyerere?
 
nimefuatilia mjadala uliotayarisha na wakina Butikuna akina Polepole nimebaini kwamba kinaweza kusababisha vurugu nchini kwa sababu wanataka kuwaaminisha watanzania kwamba ili nchi iwe na amani ni lazima wananchi waichague CCM tu.

Vinginevyo kama watachagua chama tofauti na CCM nchi itaingia vitani yaani amani kwao ni ccm tu,na yote hii eti kwa sababu chama kama chadema mgombea wake ni Lowasa ambao kwa maoni yao wanaona hafai.

Hivi kweli hii ndio kazi ya hiyo taasisi?

tatizo la ccm,wanaufanya ugovi wao na lowasa kuwa ni pamoja na wananchi wote wanampenda,kitu.ambacho sio sahihi
 
nimefuatilia mjadala uliotayarisha na wakina Butikuna akina Polepole nimebaini kwamba kinaweza kusababisha vurugu nchini kwa sababu wanataka kuwaaminisha watanzania kwamba ili nchi iwe na amani ni lazima wananchi waichague CCM tu.

Vinginevyo kama watachagua chama tofauti na CCM nchi itaingia vitani yaani amani kwao ni ccm tu,na yote hii eti kwa sababu chama kama chadema mgombea wake ni Lowasa ambao kwa maoni yao wanaona hafai.

Hivi kweli hii ndio kazi ya hiyo taasisi?

Mtakoma
 
Kingunge ndiye sio mnafiki tu. Hawa hata hawaoni kuwa maoni ya wananchi kupitia tume yao yalionekana na CCM kama wamegushi vile na yakatupwa shimoni. Hawaoni kuwa mchakato mzima wa kupata mgombea uraisi ndani ya chama chao ulikiuka Katiba yao asilimia mia moja. Hawaoni kuwa hiyo ni dhambi kubwa kisiasa na bado wanajaribu kutetea chama hicho ambacho hata kilidiriki kusema wao ni vizee vinavyokaribia kufa! Nawashangaa sana!!


mbona bado mnaomboleza Msiba! huyu jamaa alikatwa na kamati ya maadili kwa kukosa uadilifu full stop! UKAWA Mkampokea na yupo kwenye kampeni ambayo mnaamini anafanya vizuri ingawa hajafikisha kutembelea hata nusu ya majimbo ya uchaguzi! MAGUFULI TUMAINI LETU..... SIO MDINI! SIO MKABILA! ANACHOJUA NI KUKEMEA NA KUCHAPA KAZI TU!
 
..kupinga UKWELI ni UNAFIKI. Mnafiki anajipinga hata yeye mwenyewe. Butiku kadhihilisha hilo na haeleweki, labda anasubiri upepo ajue pakushika sababu kazoea kuishi kwa hisani tu.


..mongela hana tofauti na bomu, kajifagilia sana sijui kwa lipi, kauli zake zinachochea uvunjifu wa amani. Anasema CCM italeta mabadiliko bila kumwaga damu, vijana wasidanganyike kama Libya na misri, kauli hizi maana yake nini? kudhani kuiondoa CCM madarakani ni kuvunja amani ni mawazo ya aliyekwenda shule na kapata vyeti lakini kichwani hakupata kitu


TUSIPUUZE UKWELI KWA SABABU YA NJAA NJAA ZETU, ITATUGHARIMU..chama chochote kikifanya kosa lolote tukiseme bila woga wowote.
 
Back
Top Bottom