Taasisi ya Kigoda cha Mwalimu Nyerere ijitathimini

Taasisi ya Kigoda cha Mwalimu Nyerere ijitathimini

Wotehao saisi wtz tumeishawao njaa zinawasumbua.hivyobasi lowassa ndiooo rais wahii nchi tulivu
 
Kuna Taasisi ya Mwalimu Nyerere (Foundation) waliohost mdahalo wa Leo na ni tofauti na Kigoda Cha Mwalimu Nyerere amabacho naamini kiko chini ya UDSM. Hivi ni vitu viwili tofauti visichanganywe.
Asante.Nadhani taasisi ndio haswa iliyopoteza muelekeo.
 
Nawaunga mkono, lowasa hafai

Upo sawa ndo maana hata Mzee Kingunge alisema; "Nguvu ya wapinga mabadiliko ni kubwa" akiwajuimuisha ninyi.Ila akamalizia kwa kusema..."Ila nguvu ya wanaodai mabadiliko ni kubwa zaidi"
 
ukisikia kelele ujue imempata. Vigogo wote wa ccm watapiga kelele kabla ya august 25,lakini kwa hali ilivyo hawataambulia kitu!
 
nimefuatilia mjadala uliotayarisha na wakina Butikuna akina Polepole nimebaini kwamba kinaweza kusababisha vurugu nchini kwa sababu wanataka kuwaaminisha watanzania kwamba ili nchi iwe na amani ni lazima wananchi waichague CCM tu. Vinginevyo kama watachagua chama tofauti na CCM nchi itaingia vitani yaani amani kwao ni ccm tu,na yote hii eti kwa sababu chama kama chadema mgombea wake ni Lowasa ambao kwa maoni yao wanaona hafai. Hivi kweli hii ndio kazi ya hiyo taasisi?
hii mizee ina ushamba wa kijamaa....ilizoea kusigizia mabepari wanawaoanea wivu na kuwachonganisha..ukiiuliza kwanini na yeyenye ilikubwali kuchanganishwa haina majibu..hawana cha kujibu ni ushamba na kujishtukia km mtu wa kijijini akiwa na hela nyingi mjini huku kaambiwa kila mtu wa mjini ni mwizi......inapiga kelele za kipuuzi tuu kwamba kila mtu wa mjini ni mvunja amani,,ni mwizi..ana mihemko...hata hela ikiweka ktk socks bado itatembea ikikagua sox kms i kuchomekea socks...lazima iibiwe...km itakavyoharibu amani yetu.
 
Kigoda cha mwalimu Nyerere kamwe hakiwezi kubali fisadi aingie ikulu
..

Wewe kweli ni jingalao! Nani alikwambia huo mdahalo uliandaliwa na Kigoda cha Mwalimu? Ile ni taasisi ya wasomi hawawezi kujidhalilisha kiasi cha akina Butiku!
 
wameishiwa sera hao.hansi pole pole ni mmoja katika vijana asilimia 68

Hebu tuache kukufuru aiseee! Yaani yule Humphrey Polepole kama ni kijana basi Mimi ni mtoto!! Ile sura mkomao kama kapaka ndimu usoni ni ya kijana hiyo? Wacha bwana!!
 
Kurudisha ccm nisawa nakujitakia vifo hospitality za umma
 
sidhani kama mwalimu alikaa kwenye kigoda cha namna hii, kha imekua kama mapokezi ya kasino mip[asho m,ajungu wanjadili watu sio mfumo
 
nimefuatilia mjadala uliotayarisha na wakina Butikuna akina Polepole nimebaini kwamba kinaweza kusababisha vurugu nchini kwa sababu wanataka kuwaaminisha watanzania kwamba ili nchi iwe na amani ni lazima wananchi waichague CCM tu.

Vinginevyo kama watachagua chama tofauti na CCM nchi itaingia vitani yaani amani kwao ni ccm tu,na yote hii eti kwa sababu chama kama chadema mgombea wake ni Lowasa ambao kwa maoni yao wanaona hafai.

Hivi kweli hii ndio kazi ya hiyo taasisi?

Kigoda cha mwalimu nyerere ndo takataka gani?vijana wengi wamezaliwa late 90s hawamjui nyerere,wao wanataka mabadiliko,wanataka elimu bora,huduma nzuri za afya,ajira,barabara nzuri nk sio hadithi za nyerere,
 
Ndugu yangu Taasisi ya kina Butiku, kama unavyoiita, SIYO KIGODA CHA MWALIMU bali ni Mwalimu Nyerere Foundation. Kigoda cha Mwalimu ni Taasisi katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, sehemu ya Mlimani. Na mwenye Kigoda kwa sasa ni profesa Penina Mlama, baada ya Profesa Shivji kustaafu (kumaliza muda wake).
Nawasilisha.
 
Ndugu yangu Taasisi ya kina Butiku, kama unavyoiita, SIYO KIGODA CHA MWALIMU bali ni Mwalimu Nyerere Foundation. Kigoda cha Mwalimu ni Taasisi katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, sehemu ya Mlimani. Na mwenye Kigoda kwa sasa ni profesa Penina Mlama, baada ya Profesa Shivji kustaafu (kumaliza muda wake).
Nawasilisha.

Asante mkuu kwa ufafanuzi. Ndiyo wengine husema the devil is in the details. Mleta maada anachanganya vitu viwili tofauti japo vyote vinamhenzi Mwl. Nyerere.
 
kipindi cha katiba mpya mliwasifia sana tena polepole alikuwa kijana makini! ilifika mahali hadi tuliaminishwa humu kuwa warioba analindwa na vijana wa cdma!! leo kila kitu kimegeuka!! ahahaha wazee wa mabadiliko bhana!!!!
 
kipindi cha katiba mpya mliwasifia sana tena polepole alikuwa kijana makini! ilifika mahali hadi tuliaminishwa humu kuwa warioba analindwa na vijana wa cdma!! leo kila kitu kimegeuka!! ahahaha wazee wa mabadiliko bhana!!!!
Mwanzoni waliweka mbele utaifa.Vyama vyote vilikosolewa.
Sasa hivi wamekuwa sehemu ya kampeni ya chama fulani kikongwe.
 
nimefuatilia mjadala uliotayarisha na wakina Butikuna akina Polepole nimebaini kwamba kinaweza kusababisha vurugu nchini kwa sababu wanataka kuwaaminisha watanzania kwamba ili nchi iwe na amani ni lazima wananchi waichague CCM tu.

Vinginevyo kama watachagua chama tofauti na CCM nchi itaingia vitani yaani amani kwao ni ccm tu,na yote hii eti kwa sababu chama kama chadema mgombea wake ni Lowasa ambao kwa maoni yao wanaona hafai.

Hivi kweli hii ndio kazi ya hiyo taasisi?

#watupisheeetu
 
AMANI ni tunda la HAKI.
Wanaowaza kupotea kwa amani ya nchi ni wale waovu, mafisadi, wenye hila, wanaopindisha kweli kuwa uongo, wanyonyaji na watesi wa wananchi.
Watenda haki hawana wasiwasi wowote.
Siku zote unaweza kuwatambua waovu kwa wasiwasi na kubwabwaja kwa maneno mengi katika utetezi wao wanapokaribia hukumu katika mahakama ya haki!
WANANCHI MASIKINI CHAGUENI KWA UHURU NA HAKI, MSIOGOPE VITISHO KWA KUWA HAKUNA MTAKACHOPOTEZA!
 
Back
Top Bottom