Sasa kwa nini huwa "hauwaambukizi" wengine uvumilivu? Bravo! 👏👏👏Hahahahahaha, cheki sasa.
Mimi kunitoa povu ninyi hamuwezi bwana, mimi mijadala nafanya kila siku nje ya JF na nimezoea.
Natukanwa, nakashifiwa, wengine wanaletaga hadi ubaguzi wa rangi..lakini nimo tuuuuuuh.
Scotland yard ni private intelligence companyBila kuiweka ScOTLAND YARD hii list ni batili wallah nakwambia
Ila wapo vizuri kinyamaScotland yard ni private intelligence company
Intelligence yetu hii kwa ajili ya wapinzani hhihihiiii. Nilikuwa natania.Where is TISS now??
Veve takua daganya!!
Jombaa sema ninyi humu huwa hamnielewagi tu, napenda kuleta changamoto ili kufanya nyuzi zichangamke na watu tujifunze. Siyo kwamba nakuwa sijui au nataka kubishana tu, nataka tuangalie pande zote za shilingi na tukomae kimaamuzi. Sasa mabwana wadogo wa humu ndani wakishaamini UVCCM, BAVICHA au USA, RUSSIA wanaona kama hakuna dunia nyingine nje ya hapo. Ukiwaletea changamoto kidogo tu, wanakuita Mrusi wa mtogole, hahahahaha daaah! Nchi hii tuna kazi sanaaaSasa kwa nini huwa "hauwaambukizi" wengine uvumilivu? Bravo! 👏👏👏
Yap! Taliban siyo kama Al Qaida au ISIS. Taliba ni kama unavyoiona Alshabab na Hizbullah. Wanapambana kurudisha utawala wa taliba pale Afganistan. Kihistoria Taliban walisaidiwa sana na Pakistan kuondoa uvamizi wa Urusi kule Afganistan hadi wakafanikiwa. Tatizo lilikuja pale Marekani ilipoingia bifu na Osama na Taliban wakawa wanamwunga mkono Osama.Anhaaa, kwa hiyo wapo Afghanistani tu ?
How Can Islamabad Further Isolate the Pakistani Taliban?
Kama wao ni wenye nguvu kwanini walishindwa kumuangamiza??Pakistan ndio walisaidia kutoa taarifa alipo osama na kumkamata!!
Kumbe ni wapiga domo tu 😂😂😂😂🏃🏃🏃🏃Kwahiyo unabisha kama Pakistan haongozi kwa ushilawadu duniani?
Walikuwa wanashirikiana na Osama kumficha hawakuwa na nia ya dhati juu ya kumtaftaSioni sababu ya ISI ya Pakistan kuorodheshwa wakati walishindwa kumjua Osama alipo mpaka USA ilipomfukunyua baada ya kuanzisha operation ya chanjo bado hapohapo walitingishwa na Taliban ya Mula Omary mpaka USA ikaja kuwasaidia
Ina uzuri gani mkuu? Ime shindwa kutambua wahalifu kibao apa nchiniTISS iko vizuri pia
kamuulize Bashe💃💃💃💃Tanzania TISS hajaiwai Fanya operation yoyote ila JWTZ ndo imefanya na operation ya mwisho ni operation Tumbili
Over!
Ya Billion 1Vp hii ya kwetu ni ya ngapi?!
Ina uzuri gani mkuu? Ime shindwa kutambua wahalifu kibao apa nchini
Trust me, iko vizuri kuliko unavyodhani.
Kwani ubora wa taasisi ya usalama una pimwaje? Si jinsi inavo pambana na matukuo ya kiharifu... sasa na bongo matukuo ya kiharifu yametokea mangap? Ben ssanane alikua ana tumiwa message za vitisho tayar unapo pa kuanzia lakini wao awaja pata kitu... lissu walitoa cctv camera tayari unapo pa kuanzia lakini mpaka leo akuna kitu.... naisi la kwetu ndo bovu kuliko taasisi zote pengine