Taarifa za Zitto na Dr. Kitila kwa Umma Juu ya Kuvuliwa Nafasi za Uongozi ndani ya CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Tangia kuvuliwa vyeo vyote ndani ya Chama na kupewa siku 14 kwa Mh Zitto Kabwe na mwenzake Dr Kitila Mkumbo kueleza kwa maandishi ni kwanini wasifutwe Uwanachama, maneno mengi sana yamezungumzwa.
Wapo waliosema Chadema sasa ndio mwisho wake huu.wengine walithubutu hata kusema kuwa Chadema kinakufa hivi karibuni.

Leo ktk mkutano wao na waandishi wa habari,Dr Kitila Mkumbo pamoja na kukiri kushiriki kuuandaa Waraka ule wa siri lakini pia amekiri kuwa CHADEMA "HAKITAKUFA" ZAIDI SANA NDIO SASA KITAZIDI KUIMARIKA.

Hili ndilo tulilotarajia baada ya Mamluki Kuondolewa,kwamba Cdm ndio sasa kitakuwa Imara zaidi na zaidi. Je Dr Kitila Mkumbo hakulijua hili mapema!?
 
Zitto yupo juu sababu sababu haogopi kuruka,haogopi kuumia au kuna kuvunjika. Na kauli zake zina maumivu na busara kwa wakati mmoja. Yeye ndo kaka mkubwa wa siasa bongo wadogo zake kina mbowe na slaa inabidi waelewe tu.
 
Hii ni event kubwa sana katika historia ya kisiasa ya Zitto. Atajilaumu sana nafsi yake. Anaendelea kufanya ulinganifu baina ya usaliti wake na umaarufu wake unaopotea anagundua hesabu hazieendi. Bado hayupo tayari kuona umaarufu wake unapotea kama barafu.
Ccm marafiki zake kwa sasa wanamcheka sana huku wakinywa mvinyo.
 
SIASA ZA KISAYANSI.............
Zitto ana akili kuliko kamati kuu ya CHADEMA wao walimtega ili Ajitoe na angejitoa wangesema ni kweli zito ni shushushu wa CCM BAADA ya kushitukiwa kajitoa.

YEYE akawajua Hajitoi anataka Afukuzwe sasa Mtego Umerudi kamati Kuu CHADEMA.

WAKIMFUKUZA zito atasema nimefukuzwa kwa sababu ya Uchaguzi wa ndani ya chama na fedha za ruzuku ZA Chama kutumiwa vibaya mwisho atasema mimi sio mchaga kama wao ndio maana wamemfukuza utakua mwiba Mbaya saana kwa CHADEMA kama akifukuzwa.

Akibakizwa atagombea nafasi ya mwenyekiti na kumtoa mbowe hali itakayosababisha chama kufa mapema zaidi kama ni SHUSHU WA CCM kweli.

Hahahahahahahahahaha haya sasa MKIFUKUZA INAKULA KWENU MKIMRUDISHA INAKULA KWENU R.I.P CHADEMA Mnacheza na system ehee.
 
Mpenda haki na kijana nisiependa majungu. Naitaka sana cdm isife kwani ccm yetu itafanya pumba bila kuhojiwa.

kwani kile chama chetu cafu umekiona hakifai tena?!!!!

kumbe chadema kweli ni tumaini la watanzania wote. hata wewe mhafidhina!!!!
 
safi sana Zitto kwa kusema ukweli na sisi wananchi tumepata upande wa pili,kumbe shutuma zote unazopakaziwa ni kwa sababu uchaguzi unakaribia

ndani ya siku kumi na nne asipotoa maelezo ya kuridhisha atafukuzwa uanachama na cdm itasonga mbele,si mlikuwa mnataka afukuzwe kama ana makosa sasa mnalia nini?
 
maana waandishi wa habari hasa wa uhuru na gwiji la habari walijiandaaa na headings zifuatazo
1.Chadema kwisha kazi..
2.Zitto aidindia Chadema
3.Mwisho wa chadema umefika
4.Chadema vipande vipande
5.Chadema iko ICU
6.Chadema mahututi
7.Mtifuano chadema
8.Zitto aigomea chadema,asema sitoki ngó.
 
Hapa wengi tulitegemea yale ya Ibrahimu Msabaha aliposema "Mimi ni Bangusiro"

Yaani Kondoo wa Kafara lakini hajui lolote.
 
Zitto na Kitila Mkumbo ni wanasiasa walioiva na wanaijuwa darmacations za kisiasa ndani ya chama chao.
 
Mtata wa ma chadema utauona.kizuli mtu akiwa cdm ndo kitanoga.ila akitika tu kwao huona ni pumba.wao ndo wako sahihi kwa kila nyanja.uozo huwezi kuona bila mtu kutoka upande frani na kuelekea upande wa pili.hongera zitto kbwe tumegee uozo huo wa mtei
 
Huyu Zitto alichoenda kuongea na waandishi wa habari sio alichokuwa amekiandika na kukusudia kukisema.

Zitto inaonyesha umezibwa mdomo. Ungekuwa mkweli na Mungu angekusikia

Kwani ulivyoambiwa ni mnafiki!

Endelea kuwa nyuma ya wanafiki utaumia wewe, wanafiki wapo tayari kwa lolote sasa yoyote na hawawezi kusimamia hata chembe ya matendo yao.
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom