Steven Robert Masatu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2009
- 2,458
- 1,821
Umekiuka mashariti Kwamba mjadala umefungwa.
Mzee unanikumbusha juzi Kati niliwekwa sero kwa masaa kadhaa pale selander kwa kosa la kumwambia trafiki anafanya kazi kwa mazoea na sio kwa utaratibu.
Basi akili za hao wawili ni sawa na za afande.
Mzee unanikumbusha juzi Kati niliwekwa sero kwa masaa kadhaa pale selander kwa kosa la kumwambia trafiki anafanya kazi kwa mazoea na sio kwa utaratibu.
Basi akili za hao wawili ni sawa na za afande.