engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
kuna mtu yeyote mwenye mkataba wa mkopo kati ya bank ya posta na mwombaji mkopo (ambaye ni mfanyakazi))?
da mikopo hapa bongo ina masharti magumu kishenzi aisee
kuna mtu yeyote mwenye mkataba wa mkopo kati ya bank ya posta na mwombaji mkopo (ambaye ni mfanyakazi))?
Ni kweli mkuu,
Nilikuwa naongea na jamaa mmoja kutoka Denmark, alikopa nyumba ambayo wanalipa kwa miaka 30 na malipo yao kwa mwezi ni kama Euro 2000. Riba ya jumla ambayo wanatakiwa kulipa ni kati ya 4-8%
Kwa hapa Bongo, mikopo ya muda mrefu inakuwa na riba ya zaidi ya 30!
Ndiyo maana wakubwa zetu hawajui kwa nini bado tuko maskini!!
Babu DC!!
Nilitembelea nchini Marekani karibuni nchi ambayo miaka michache nilikuwa nakula vitabu vyao. Kwa udadisi tu niliamua kwenda bank kuulizia wanafanyeje ukopeshaji wa pesa. Niliambiwa mkopo wa secured money ni free under one year period. Zaidi ya mwaka wanaanza charge kidogo za riba lakini haizidi 3%. Lakini bank za bongo ni mtindo mmoja tu kana kwamba unawekeza rehani ya nyumba.
NIliporudi kuwaeleza maofisa wa bank fulani (jina kapuni) waliniambia wao wakati mwingine wakakopa pesa huko majuu ndio maana riba huwa juu sana ili kufidia kotekote. Hoja hii haijaniingia vizuri katika mikopo ya mabeni kwa mabenki kimabara.
hata hapa bongo ukikopa dolla $ riba yake ni ndogo sana knye less than 3% kwa mwaka. tatizo fedha za madafu hazina dhamani ndio maana mnapigwa riba ya juu
Naona hii bank tumeisahau kabisa. Zamani ilikuwa inasaidia sana kwani walikuwa wanaruhusu kuchukua pesa tawi lolote nchini. Ilisaidia sana wanafunzi!
Ngoja tusubiri kama kuna mdau anaitumia au anamjua mtu anayetumia hii bank au ana mkopo kutoka bank ya posta basi atatujuza.
Babu DC
Nakubalina na wewe...Ni vigumu kupata bank ambayo inatoza interest ya 3% kwa USD!
Equity tumeanza jamani, njoo uone tofauti, Equity ndoo hii hapa, mikopo yetu ni ya masharti nafuu sana, mikopo kuanzia midogo mpaka mikubwa, hatuna ubaguzi, njoo tukusikilize, njoo tukujali, karibu nyumbani kwako Equity Bank.
kwa sasa tuko quality centre hapa kwa manji, posta jengo jipya nyuma ya PPf Tower na arusha.
mwezi ujao tunapplan for kariakoo na mwanza coming soon.