Asante sana kwa information mkuu. Ila nina swali moja nataka kuuliza, je kama ninahitaji mkopo wa kuanzisha biashara na sina kiwanja, nyumba wala shamba ninafanyaje? na ni benk gani ambayo itanifaa??
"kuanzisha biashara" - hapa ndipo changamoto ilipo kwenye mabenki na taasisi zetu za fedha, sidhani kama wanatoa hata kama unayo security, kama kuna mdau anayejua atujuze tafadhali
mfano, ninataka kununua scania truck na security ninayo? benki gani inaweza kukupa facility hii?