elivina shambuni
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 461
- 295
Bei ndo kama hizo...Bei???
Bei ndo kama hizo...View attachment 1273123
Mmmh! Acha niendelee kunywa magaka, majani ya mpera na muarobaini. Wanyonge zamu yetu bado.Bei ndo kama hizo...View attachment 1273123
Vifurushi vya bei hivi hapaWizara ya Afya hapa mnacheza na uhai wa watu
Retiree seniors atapata wapi laki sita ya kulipia bima?
Nyie tutieni vitanzi
Kaeni na Bima yenu uchwara
Mradi wa mtu fulani
Pesa za kununua ndege mngewekeza kwenye afya
Kibaya zaidi wenye bima wanapewa huduma za ovyo kabisa
Bei ndo kama hizo...View attachment 1273123
Vifurushi vya bei hivi hapa
Nimeiona Mkuu ndio maana nimeuliza Wazee na Retirees wataweza kulipa hizi gharama kama sio kuongeza vifoVifurushi vya bei hivi hapa
Hiyo ni changamoto kwakweli PakawaNimeiona Mkuu ndio maana nimeuliza Wazee na Retirees wataweza kulipa hizi gharama kama sio kuongeza vifo
Ha ha ha vya mwaka ila wasisahau pia kwenye packages kuonesha unapata huduma ganiHivi vifurushi ni vya siku, wiki, mwezi au Mwaka?