The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 18,158
- 51,086
Siku hizi ukiwa na smart phone na bando kisha ukawa na access yakuingia kwenye mitandao ya kijamii basi unakua mtaalamu wa kila kitu!
Unakua unajua kazi za kila mtu zinapaswa kufanywaje na kwa usahihi gani kuliko hata kujua kazi zako wewe mwenyewe zinavyopaswa kufanywa na kwa usahihi gani!
Unakua unajua kazi za kila mtu zinapaswa kufanywaje na kwa usahihi gani kuliko hata kujua kazi zako wewe mwenyewe zinavyopaswa kufanywa na kwa usahihi gani!