Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,119
- 27,934
Watu wanavyopenda madili ya bure bure acha mtu, wewe muulize tu mtu flani unamfahamu utaona anavyo changamka hapo anataka kuwa middleman anajua kuna dili tayari.hv kwa hali ya kawaida wanakuja watu kazini kwangu, siwajui hawanijui wananiambia twende tukaongee, na mimi nawafuata tu hivi hivi? Mytake wanajuana na alipopelekwa anapajua, sema tatizo linabaki kwa nyinyi ndugu na jamaa ambao hakuwashilikisha