Rip m/kiti,kawaambie makamanda shirembi,bob,wangwe na wengine kwamba makamanda tunawakumbuka kwa rangi nyekundu na kwamba mapambano ya ukombozi yanaendelea na kwamba yapo katika hatua nzuri.
RIP Salim. Mwambie Regia bado na thread yako inaendelea kukusanya kero za wananchi, zinasemewa bungeni lakini sirikali si sikivu na mpango wa M4C tayari umejizatiti kuingoa C c em madarakani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.