Taarifa ya CCM kwa vyombo vya habari

Taarifa ya CCM kwa vyombo vya habari

Kutokana na Hali mbaya kwenye Mikutano yao nakutokukubalika pia hili lakuongeza Bajeti yakuwapa wananchi chakula kwenye mikutano ya ccm hilehali wananchi wanaendelea kuteseka kwa kukosa mambo mbalimbali pia lilikua ajenda yenu ya jana pic inajieleza namna gani mnarubuni wananchi kwenye mikutano

hawa wanafiki wa ccm hawafai
 
Lizaboni hongera sana, sasa nimeelewa jana ulimaanisha nini uliposema thatha hajapewa nafasi ya ukatibu kwa sababu wengine wamepewa nafasi zingine.

naona umekula kitengo idala ya mawasiliano.

na mimi niambilie kwa nape basi naweza kazi, naweza kufanya hata kwa malipo pungufu.

DR SLAA ni Kichaa.

niambilie basi?
 
Duh nimegunduwa jf ni kiboko ya mafisadi mbona wametoweka kama wamemwagiwa maji ya washa washa
 
kama ccm ikiamua kujitegemea basi ihakikishe inawatafutia kazi wale WAZEE na VIJANA WANAOSHINDA WAKICHEZA BAO KWENYE VIBARAZA VYA OFISI ZAO HUKU WAKITENGENEZA MAJUNGU .
 
Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) jana Oktoba 16, 2014 katika siku ya kwanza ya kikao chake cha siku mbili kinachoendelea mjini Dodoma chini ya Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete imejadili na kupitisha Sera ya CCM ya kujitegemea kimapato na kiuchumi.


Sera hiyo inalenga kuwa muongozo wa kuifanya CCM ianze kuzitumia rasilimali zake kuzalisha ili iweze kujitegemea kiuchumi. Kama inavyofahamika CCM ina rasilimali nyingi wakiwemo wanachama wake, viwanja na majengo ambavyo kwa pamoja vkitumika vizuri vitasaidia kukifanya chama kuondokana na utegemezi wa ruzuku na badala yake kujitegemea.

Lizaboni hebu acha utani bana, hebu tujiulize SUKITA iliishia wapi?
 
Last edited by a moderator:
Kutokana na Hali mbaya kwenye Mikutano yao nakutokukubalika pia hili lakuongeza Bajeti yakuwapa wananchi chakula kwenye mikutano ya ccm hilehali wananchi wanaendelea kuteseka kwa kukosa mambo mbalimbali pia lilikua ajenda yenu ya jana pic inajieleza namna gani mnarubuni wananchi kwenye mikutano

pwahahaaa mkuu nimecheka sana hyo picha, nape ndo anagawa wali maharage!
 
Lizaboni kwahiyo kwenu Gender hakuna, mbona hakuna wanawake au ndio na chama chenu ni cha wanaume tu, ingekuwa chadema mngeita Press kupiga majungu
 
Back
Top Bottom