Emma.
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 19,932
- 5,570
Kutokana na Hali mbaya kwenye Mikutano yao nakutokukubalika pia hili lakuongeza Bajeti yakuwapa wananchi chakula kwenye mikutano ya ccm hilehali wananchi wanaendelea kuteseka kwa kukosa mambo mbalimbali pia lilikua ajenda yenu ya jana pic inajieleza namna gani mnarubuni wananchi kwenye mikutano
hawa wanafiki wa ccm hawafai