Hiyo siyo gumzo mkuu ni taarifa tu kama zilivyo taarifa nyingine zinazotolewa BBC na siyo media zote labda uweke na nyingine ndiyo useme "media za nje"
tumenunua sawa ma drimulaina swala lililobaki ni namna ya uendeshaji management ujanja wa ku compete na tulio wakuta ktk biashara n.k
vinginevyo mtabaki na maendeleo ya vitu visivyoweza kufukia madeni mliyo nayo visivyoweza kuinua pato la mtu mmoja mmoja
visivyo weza rudisha heshima ya shilingi yetu dhidi ya dola visivyomfaidisha muuza nyanya au maziwa kwenye baiskeli kule geita na chato yake
Hiyo ni taarifa tu ya habari kama zingine na wameongelea "Ambition", sasa unaweza uwe na "Ambition" lkn usii-achieve. Projects nyingi tulizonazo ni "White Elephant".
Waache upuuzi, watuulize kwanza sisi wananchi tunavyosota msoto! Maisha yamekuwa magumu, hela yote jamaa linapeleka huko watoto hawana chakula yeye tu.
Hamna kitu hapo!
Hiyo ni taarifa tu ya habari kama zingine na wameongelea "Ambition", sasa unaweza uwe na "Ambition" lkn usii-achieve. Projects nyingi tulizonazo ni "White Elephant".
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.