Tairi bovu
JF-Expert Member
- Sep 28, 2017
- 3,063
- 2,983
wakati mwingine huwa napata mashaka sana na akili yako mkuu. sijui huwa unataka sie tujue na kufahamu nini? katika nchi ambayo vifo vya mama na mtoto vinaongezeka kila siku unasemaje kuna maendeleo? katika nchi ambayo mtu akiingiza pesa za kigeni anahelelezwa sawa na yule anayeingiza madawa ya kulevya unasemaje kuna maendleo? katika nchi ambayo serikali inakandamiza wakulima wao kama wale wa korosho unasemaje kuna maendleo? kwenye nchi ambayo hata kubadilishana mawazo tu ni kosa wewe unaitaje kuna maendleo? leo hata ukiwa bar unaogopa kuzungumza kwa hofu ya kupotea unaitaje pana maendleo!?
maji hakuna, elimu duni, wanaofaulu hawaendi vyuo vikuu nk
acha kutuviza akili zetu kama ulivyoviza ya kwako na kubali kujingishwa hata kusifia yasiyokuwepo.
serikali yyte makini hujali maendleo ya watu wake sio vitu