Taarifa ya ajali ya Kamanda Mawazo na namba yake ya simu!

Taarifa ya ajali ya Kamanda Mawazo na namba yake ya simu!

pole kamanda....ukombozi una vikwazo vingi lakini pamoja tutashinda.
 
Baada ya kusoma humu watu wakihitaji namba ya kamanda Mawazo niliwasiliana naye usiku na akaniruhusu kuiweka namba yake baada ya kumshawishi sana! Hata hivyo kamanda jana alipata ajari ya kuteleza kwenye mtumbwi na ameumia nyonga imevimba.

Namba yake 0756039703

Get well soon comrade. His tigo number is 0658039703
 
Oh! Pole sana kamanda Mawazo.
Amelazwa? Tunaomba taarifa kamili mkuu.
Kuhusu hiyo namba itashughulikiwa. Hana namba ya tigo?

hajalazwa kaumiya kidogo tu na safari yake inaendeleuya kama kawaida.
 
Pole Kamada tupo pamoja nawe katika maumivu yako na mungu atakuponya uendelee katika harakati zako za kutetea haki na kutafuta ukombozi wa pili wa Taifa hili kutoka kwa mkoloni mweusi CCM
 
nyonga ni nini mkuu?
bluetooth

Nyonga = Hip

Your hip is the joint where your thigh bone meets your pelvis bone. Hips are called ball-and-socket joints because the ball-like top of your thigh bone moves within a cup-like space in your pelvis.

Your hips are very stable. When they are healthy, it takes great force to hurt them. However, playing sports, running, overuse or falling can all sometimes lead to hip injuries. These include

  • Strains
  • Bursitis
  • Dislocations
  • Fractures
 
Kamanda Mawazo hizo ni changamoto katika safari ndefu ila tunakata mawimbi tunasonga.Tulianza na Mungu na Tutamaliza na Mungu.Get well soon!:rockon:
 
Pole sana Kamanda, tuko nyuma yako na bila shaka mchango wako ni mkubwa sana, upo kwenye recodi muhimu sana katika mapambano, mungu akusaidie uwe mzima haraka iwezekanavyo uingie kazini. Tulianza na mungu na tutamaliza na mungu
 
pole kamanda , ulikuwa unaenda wapi na mtumbwi?

Tusisahau wenzetu wengine sehemu ya hii Jamhuri ya Tanganyika hawana nyenzo nyingine za usafiri zaidi ya MITUMBWI. Pamoja na hayo wanahitaji kufikiwa ili na wenyewe waweze kutoa dukuduku lao au kusikilizwa kama sehemu ya demokrasia na kwa mujibu wa Katiba yetu (ingawa imepitwa na wakati).
 
Pole kamanda mawazo, naona makamanda wengine wa chadema wameanza kukususia m4c!
 
Pole kamanda mawazo, naona makamanda wengine wa chadema wameanza kukususia m4c!

Pole sana kamanda,Mungu yupo nawe daima juhudi zako za ukombozi tunaziona na kuzisikia,thanks kwa mdau aliyetoa namba,soon naifanyia kazi namba ya voda,utapata msg japo ni kidogo,kitakusaidia katika kutia mafuta na uendelee katika harakati za ukombozi,tuko nyuma yako tutaku suport kwa chochote kamanda
 
Back
Top Bottom